Pacha waliotenganishwa India waishi kwa shida
>Mwezi mmoja baada ya pacha waliokuwa wameungana, Ericana na Eliud kurejea nyumbani mkoani Mbeya baada ya kutenganishwa huko India, imebainika kuwa sasa wanaishi maisha magumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Oct
Watoto pacha waliotenganishwa India sasa waanza kutembea
Hali za watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud na Elikana wenye mwaka mmoja na miezi sita, zinazidi kuimarika tangu walipofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya Julai mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Pacha waliotenganishwa warejea
>Watoto pacha, Elikana na Eliud waliokuwa wameungana wamerejea nchini jana wakitokea India walipokuwa kwa ajili ya kutenganishwa, tayari kwa kusherehekea kumbukumbu yao ya kutimiza mwaka mmoja leo.
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Pacha waliotenganishwa wafanyiwa upasuaji
>Hatimaye mmoja kati ya pacha waliokuwa wameungana kabla ya kutenganishwa kwa upasuaji nchini India, Elikana jana alifanyiwa upasuaji wa kuziba njia ya muda ya haja kubwa na kutengenezewa ya kudumu katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mbeya.
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Pacha waliotenganishwa wawasili salama Kyela
Kyela. Mamia ya wakazi wa Kijiji cha Kasumulu eneo la ‘Juakali’, wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya, jana walimiminika nyumbani kwa mama wa watoto pacha, Grace Joel ili kushuhudia jinsi walivyotenganishwa baada ya kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni.
11 years ago
Michuzi20 Feb
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Vijana waishi vyooni kwa ugumu wa maisha
VIJANA wanne wakazi wa mji wa O’murushaka, Kata ya Bugene, wilayani Karagwe, wanaishi kwenye vyoo vya huduma vya wasafiri vilivyopo katika mji huo kwa miezi sita sasa kwa madai ya...
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Wakazi Chamwino waishi kwa kula matunda ya porini
Halmashauri ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma imetangaza kuwa wilaya hiyo inakabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula na kusababisha baadhi ya wakazi wake kuishi kwa kula matunda ya porini, mboga na unga wa ubuyu.
11 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
Naomba unipe nafasi nitoe maoni yangu kuhusu Uraia pacha nikijbu maoni yaliyoandikwa kwenye gazeti la mwananchi na bwana Humphrey Polepole. Maoni yake yamenishangaza sana na mtu huyu anaonekana ana hujuzi kidogo katika mambo ya uandishi na ameamua kutumua ujuzi wake kudanganya watu kuhusu swala hili la urahia pacha kwa watanzania.Napenda iheleweke kwamba urahia pacha sio kitu kigeni Tanzania. Kimsingi na kimazingira Tanzania inaruhusu urahia pacha.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania