Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pacha waliotenganishwa warejea

>Watoto pacha, Elikana na Eliud waliokuwa wameungana wamerejea nchini jana wakitokea India walipokuwa kwa ajili ya kutenganishwa, tayari kwa kusherehekea kumbukumbu yao ya kutimiza mwaka mmoja leo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Pacha waliotenganishwa wafanyiwa upasuaji

>Hatimaye mmoja kati ya pacha waliokuwa wameungana kabla ya kutenganishwa kwa upasuaji nchini India, Elikana jana  alifanyiwa upasuaji wa kuziba njia ya muda ya haja kubwa na kutengenezewa ya kudumu katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mbeya.

 

11 years ago

Mwananchi

Pacha waliotenganishwa wawasili salama Kyela

Kyela. Mamia ya wakazi wa Kijiji cha Kasumulu eneo la ‘Juakali’, wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya, jana walimiminika nyumbani kwa mama wa watoto pacha, Grace Joel ili kushuhudia jinsi walivyotenganishwa baada ya kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Pacha waliotenganishwa India waishi kwa shida

>Mwezi mmoja baada ya pacha waliokuwa wameungana, Ericana na Eliud kurejea nyumbani mkoani Mbeya baada ya kutenganishwa huko India, imebainika kuwa sasa wanaishi maisha magumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto pacha waliotenganishwa India sasa waanza kutembea

Hali za watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud na Elikana wenye mwaka mmoja na miezi sita, zinazidi kuimarika tangu walipofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya Julai mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Simulizi kuhusu watoto waliotenganishwa

Watoto hao walipewa majina ya Eliud na Elikana, walizaliwa Februari 20, mwaka jana mkoani Mbeya wakiwa wameungana huku mama yao Grace Joel (20) akiwa hana matumaini ya watoto hao kutenganishwa au kuendelea kuishi.

 

9 years ago

Habarileo

Utulivu warejea Z’bar

HALI ya utulivu imerudi kama kawaida katika mitaa ya Mji wa Unguja huku wananchi wakifanya shughuli zao za kila siku za maisha, ikiwemo biashara baada ya kumalizika kwa siku tatu za joto la kisiasa la Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usafiri Kivukoni warejea

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesema kuanzia leo usafiri wa mabasi ya kwenda Kivukoni na Mnazi Mmoja unaanza rasmi. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

Waliokuwa Old Trafford warejea

>Washindi wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa wamerejea nchini wakitokea England waliokuwenda kushuhudia mpambano ya Ligi Kuu ya nchi hiyo kati ya Manchester United na Cardiff City kwenye Uwanja wa Old Trafford.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani