Pacha waliotenganishwa wawasili salama Kyela
Kyela. Mamia ya wakazi wa Kijiji cha Kasumulu eneo la ‘Juakali’, wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya, jana walimiminika nyumbani kwa mama wa watoto pacha, Grace Joel ili kushuhudia jinsi walivyotenganishwa baada ya kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Pacha waliotenganishwa warejea
>Watoto pacha, Elikana na Eliud waliokuwa wameungana wamerejea nchini jana wakitokea India walipokuwa kwa ajili ya kutenganishwa, tayari kwa kusherehekea kumbukumbu yao ya kutimiza mwaka mmoja leo.
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Pacha waliotenganishwa wafanyiwa upasuaji
>Hatimaye mmoja kati ya pacha waliokuwa wameungana kabla ya kutenganishwa kwa upasuaji nchini India, Elikana jana alifanyiwa upasuaji wa kuziba njia ya muda ya haja kubwa na kutengenezewa ya kudumu katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mbeya.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Pacha waliotenganishwa India waishi kwa shida
>Mwezi mmoja baada ya pacha waliokuwa wameungana, Ericana na Eliud kurejea nyumbani mkoani Mbeya baada ya kutenganishwa huko India, imebainika kuwa sasa wanaishi maisha magumu.
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Watoto pacha waliotenganishwa India sasa waanza kutembea
Hali za watoto pacha waliozaliwa wakiwa wameungana, Eliud na Elikana wenye mwaka mmoja na miezi sita, zinazidi kuimarika tangu walipofanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya Julai mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XBe9t0w730Y/VSK4UZiYenI/AAAAAAADhMQ/RL2IHU2hHAs/s72-c/ec284e5423b61457bd37b427b3fcb960.jpg)
MWILI WA MZEE EDDIS MGAWE NA WANAFAMILIA WAWASILI TANZANIA SALAMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XBe9t0w730Y/VSK4UZiYenI/AAAAAAADhMQ/RL2IHU2hHAs/s1600/ec284e5423b61457bd37b427b3fcb960.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yy6tnEbpv2I/VSK4UM3sqaI/AAAAAAADhMc/a66i5G6lbDc/s1600/79257434bced7ea9adde4646e444ba0e.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oBwRadxDgAw/Va0PNp5DYFI/AAAAAAAD0E0/uoEthg2jDkk/s72-c/d066240baba4eac217b97cc5b50b2b54.jpg)
VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV NA WAWAKILISHI WAO WAWASILI SALAMA TANZANIA NA KUTOA MSAADA WA MADAWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oBwRadxDgAw/Va0PNp5DYFI/AAAAAAAD0E0/uoEthg2jDkk/s640/d066240baba4eac217b97cc5b50b2b54.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--apcGHaA9_w/Va0PKCEUQ7I/AAAAAAAD0D8/geYc_8AG9Mk/s640/4a6c010224e7a391cd0baa5487a5a344.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Simulizi kuhusu watoto waliotenganishwa
Watoto hao walipewa majina ya Eliud na Elikana, walizaliwa Februari 20, mwaka jana mkoani Mbeya wakiwa wameungana huku mama yao Grace Joel (20) akiwa hana matumaini ya watoto hao kutenganishwa au kuendelea kuishi.
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Mafuriko yaua Kyela
Watu watatu wamefariki dunia na wengine watatu hawajulikani walipo baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali wilayani Kyela mkoani Mbeya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania