Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWILI WA MZEE EDDIS MGAWE NA WANAFAMILIA WAWASILI TANZANIA SALAMA

Jeneza lililobeba mwili wa Mzee Eddis Mgawe ambaye ni Kamishna mstaafu wa Jeshi la Polisi likiwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere siku ya Jumatatu April 6, 2015. Mwili wa marehemu uliondoka Washington, DC siku ya Jumapili April 5, 2015 na watoto wa marehemu akiwemo mama waliondoka Jumamosi April 4, 2015 wote wamefika salama Tanzania na wanazidi kuwashukuruni sana kwa upendo na ukarimu wenu.Askari wa Jeshi la Polisi wakibeba jeneza lenye mwili wa Mzee Sddis Mgawe kutoka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA MISA NA KUAGA MWILI WA MZEE EDDIS MGAWE SILVER SPRING, MARYLAND

Jeneza lililobeba mwili wa mpendwa Mzee Eddis Mgawe likiwa mbele ya Kanisa la Bethel World Outreach Church Lililopo Silver Spring, Maryland ilikofanyika Ibada ya misa ya kumuaga Mzee Eddis Mgawe siku ya Alhamis April 2, 2015 na Watanzania DMV na wengine kutoka majimbo mengine kujumuika pamoja na familia wakiwemo wafanyakazi wa Voice Of America (VOA) wakiongozwa na mkuu wa kitengo hicho cha idhaa ya kiswahili Dr. Hamza Mwamoyo. Mtoto wa marehemu, Mary Mgawe ni mfanyakazi wa idhaa ya Kiswahili...

 

10 years ago

Vijimambo

HARAMBE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV JUMATANO

 Mzee Eddis Mgawe Enzi ya uhai wake

Familia ya Mgawe na Malinda inawataarifu harambee ya mpendwa Mzee Eddis Mgawe ili kusaidia na hatimae kufanikisha kusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani kwa mazishi, gharama za kusafirisha mwili ni $13,955. Harambee itafanyika siku ya Jumatano April 1, 2015 harambee itafanyika 1702 Pinecone Ct, Bowie, MD 20721 kuanzia saa 11:30 jioni (5:30 pm)

Matarajio ya familia na kamati ni kusafirisha mwili siku ya Ijumaa yote inategemea msaada michango yetu na...

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA HAYATI MZEE MGAWE UMEWASILI TANZANIA

IMG-20150406-WA0061Maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania wakipokea mwili wa hayati mzee Eddis Mgawe ulipowasili leo Jumatatu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam Tanzania (JIA) kutoka Washington Dc. Mzee Mgawe alikuwa ni kamishna mstaafu wa Jeshi la Polisi nchini na alifariki dunia wiki iliyopita nchini Marekani alikokuwa anawatembelea wanae.

 

10 years ago

Vijimambo

HARAMBEE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV DOLA 3,000 ZAPATIKANA, WATANZANIA OKLAHOMA NAO WACHANGA JUMLA YA MICHANGO NI 13,1OO


 Mary Mgawe(kuli) akiwa mwenye huzuni huku akilia kwa uchungu wa kufiwa na mpendwa baba yake marehemu mzee Eddis Mgawe aliyefariki siku ya Jumapili March 29, 2015 usiku , kushoto ni Jasmine Rubama akimfariji wakati wakiwa kwenye harambee iliyofanyika siku ya Jumatano na kuwezesha kukusanya jumla ya dola 3,000 na kufanya jumla ya fedha zilichangishwa wakiwemo wanaDMV na Watanzania Oklahoma kufikia dola 13,100 lengo lilikua 13,955 kiasi kilichobaki ni dola 855 Familia na kamati inatoa...

 

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV NA WAWAKILISHI WAO WAWASILI SALAMA TANZANIA NA KUTOA MSAADA WA MADAWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn.. Idd Sandaly mwenye fulana nyekundu wakifanya maongezi na Mkuu wa kitengo cha Diaspora Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimaifa Bi. Rosemery Jairo siku Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV na wawakilishi wao wakiwemo manesi na madaktari wa kujitolea walipowasili Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma za kitabibu na madawa bure katika hospitali mbalimbali Tanzania. Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Idd Sandaly akiwa katika picha ya pamoja na mama...

 

11 years ago

Mwananchi

Pacha waliotenganishwa wawasili salama Kyela

Kyela. Mamia ya wakazi wa Kijiji cha Kasumulu eneo la ‘Juakali’, wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya, jana walimiminika nyumbani kwa mama wa watoto pacha, Grace Joel ili kushuhudia jinsi walivyotenganishwa baada ya kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni.

 

10 years ago

GPL

MWILI WA SATA WAWASILI ZAMBIA

Mwili wa Rais wa Zambia, Michael Sata umewasili leo kwa ndege ya kukodi kutoka London, marais wa zamani Keneth Kaunda, Rukia Banda wameongoza mapokezi, atazikwa Jumanne ya wiki ijayo.

 

5 years ago

Mwananchi

Mwili wa bilionea Mrema wawasili

Vilio na majonzi vimetawala jana wakati mwili wa mfanyabiashara maarufu nchini marehemu, Maleu Mrema ulipowasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) ukitokea nchini Afrika Kusini.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwili wa Dk Mgimwa wawasili nchini

>Vilio, simanzi na majonzi, vilitawala jana katika Uwanja za Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, wakati mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga (CCM), Dk William Mgimwa, aliyefariki dunia Afrika Kusini, ulipowasili nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani