MWILI WA SATA WAWASILI ZAMBIA
![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtKjjEZwOmxIR5Cj9dCyG1FEcZzQwHpgFNq77VYKAPPSEzXeRkgIXW3xkmKjAUtOcc2Vyjh2umI5xcKWlH7Yxj1j/satahommage.jpg?width=650)
Mwili wa Rais wa Zambia, Michael Sata umewasili leo kwa ndege ya kukodi kutoka London, marais wa zamani Keneth Kaunda, Rukia Banda wameongoza mapokezi, atazikwa Jumanne ya wiki ijayo.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78400000/jpg/_78400706_78399186.jpg)
Zambia's Sata goes for health check
Zambia's President Michael Sata, 77, flies abroad for a medical check-up amid persistent speculation that he is seriously ill.
10 years ago
GPLRAIS MICHAEL SATA WA ZAMBIA AFARIKI
Rais wa Zambia, Michael Sata enzi za uhai wake. RAIS wa Zambia, Michael Sata amefariki dunia jana usiku akiwa jijini London nchini Uingereza alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mrefu. Sata aliyeingia madarakani tangu Septemba 23, 2011 amefariki akiwa na umri wa miaka 77 katika Hospitali ya King Edward VII, London. Sata amefariki kwa ugonjwa ambao bado haujawekwa… ...
10 years ago
TheCitizen30 Oct
Zambia’s ‘King Cobra’ Sata dies
Zambian President Michael Sata, who has died aged 77, rose from cleaning railway platforms in London to his country’s highest office, where he vowed to sweep away corruption but leaned heavily on political foes.
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Rais wa Zambia Michael Sata aaga dunia
Rais wa zambia Michael sata ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 77
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Rais Michael Sata wa Zambia aaga dunia
Rais wa Zambia Michael Sata amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 77. Rais Sata alikuwa akitibiwa jijini London.
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Buriani kwa Rais Michael Sata Zambia
Mazishi ya kitaifa yanafanyika nchini Zambia kumuaga hayati Rais wa nchi hiyo Michael Sata aliyefariki hospitalini mjini London mwezi jana.
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s72-c/A_B_sata.jpg)
RAIS SATA WA ZAMBIA KUZIKWA NOVEMBA 11, 2014 JIJINI LUSAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s1600/A_B_sata.jpg)
Mwili wa Rais Sata unategemewa kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka, siku ya Jumamosi tarehe 1 Novemba 2014. Mara baada ya mwili kupokelewa utapelekwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa wa Mulungushi ambapo watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5CT2yce2Uqe2DpXXN-iSJuIIOC8yAHR*A-MEHr3k4yoxYItbmATV3VNQuOksYocY2E7IBTEQfHX9wZoOItISVLq/makinda.jpg?width=650)
MAKINDA KUONGOZA UJUMBE WA BUNGE LA SADC KUMZIKA RAIS SATA LUSAKA, ZAMBIA
Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda. Na Owen Mwandumbya, Lusaka Zambia Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda kesho tarehe 10 Novemba, 2014 ataongoza ujumbe wa Bunge la SADC kushiriki Misa Maalum ya kuombea mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Chilufya Sata katika misa maalum itakayofanyika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania