MAKINDA KUONGOZA UJUMBE WA BUNGE LA SADC KUMZIKA RAIS SATA LUSAKA, ZAMBIA
![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5CT2yce2Uqe2DpXXN-iSJuIIOC8yAHR*A-MEHr3k4yoxYItbmATV3VNQuOksYocY2E7IBTEQfHX9wZoOItISVLq/makinda.jpg?width=650)
Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda. Na Owen Mwandumbya, Lusaka Zambia Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda kesho tarehe 10 Novemba, 2014 ataongoza ujumbe wa Bunge la SADC kushiriki Misa Maalum ya kuombea mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Chilufya Sata katika misa maalum itakayofanyika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vSzA7BF1MGk/VF8vKlDApGI/AAAAAAAGwIo/gWlpSagDQwk/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Makinda kuongoza ujumbe wa Bunge la SADC kumzika Rais Sata Lusaka , Zambia
![](http://3.bp.blogspot.com/-vSzA7BF1MGk/VF8vKlDApGI/AAAAAAAGwIo/gWlpSagDQwk/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda kesho tarehe 10 Novemba, 2014 ataongoza ujumbe wa Bunge la SADC kushiriki Misa Maalum ya kuombea mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Chilufya Sata katika misa maalum itakayofanyika katika viwanja vya Makumbusho Mjini Lusaka, Zambia. Katika ujumbe...
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s72-c/A_B_sata.jpg)
RAIS SATA WA ZAMBIA KUZIKWA NOVEMBA 11, 2014 JIJINI LUSAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-BODUJftsYyw/VFK5XuL3mkI/AAAAAAAGuSI/4tgeCwa5QOA/s1600/A_B_sata.jpg)
Mwili wa Rais Sata unategemewa kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda, Lusaka, siku ya Jumamosi tarehe 1 Novemba 2014. Mara baada ya mwili kupokelewa utapelekwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa wa Mulungushi ambapo watu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
Wabunge Bunge la SADC wamchagua Mh. Makinda kuwa Rais mpya wa Bunge hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhzB6g8qpxo/VFc_L1If9tI/AAAAAAAGvMo/1uS6w7Hl_-8/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CneLcA4uUac/VFc_MeY1BMI/AAAAAAAGvMs/GftZGY0yGEI/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
10 years ago
GPLRAIS WA BUNGE LA SADC, SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA
10 years ago
Habarileo04 Nov
Makinda awa Rais mpya Bunge la SADC
MKUTANO wa 36 wa Bunge la nchi wanachana wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), umemchagua kwa kishindo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda kuwa Rais wa Bunge hilo kwa kipindi cha miaka miwili ijayo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JHy0JyzRX-U/VFn5c_o37wI/AAAAAAAGvlU/Av5yEgbzx4w/s72-c/unnamed%2B(96).jpg)
MH. MAKINDA AWASILI NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE NA VIONGOZI WA UWT KWA KUCHAGULIWA KUWA RAIS WA BUNGE LA SADC
![](http://2.bp.blogspot.com/-JHy0JyzRX-U/VFn5c_o37wI/AAAAAAAGvlU/Av5yEgbzx4w/s1600/unnamed%2B(96).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bK4aqBJ1wmA/VFn5eTBOAsI/AAAAAAAGvlo/dIZI0OIofIM/s1600/unnamed%2B(97).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
Michuzi12 Nov
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-E-KaSUlmzJM/VGNk2plRs_I/AAAAAAAGwxc/Ny_Psyyo1PU/s640/unnamed%2B(87).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-onk4naEbBHM/VGNk209EPTI/AAAAAAAGwxk/-eFN3tcwar4/s640/unnamed%2B(88).jpg)