RAIS WA BUNGE LA SADC, SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA
Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiwasili katika viwanja vya Bunge la Zambia tayari kushiriki Misa Maalum ya Kumwombea aliyekuwa Rais wa Zambia Mhe. Michael Chilufya Sata kabla ya maziko yake kufanyika leo. Aliyekuwa Rais wa Serikali ya Awamu wa Zambia Mhe. Lupia Banda akimpokea Rais wa Bunge la SADC na Spika wa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5CT2yce2Uqe2DpXXN-iSJuIIOC8yAHR*A-MEHr3k4yoxYItbmATV3VNQuOksYocY2E7IBTEQfHX9wZoOItISVLq/makinda.jpg?width=650)
MAKINDA KUONGOZA UJUMBE WA BUNGE LA SADC KUMZIKA RAIS SATA LUSAKA, ZAMBIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vSzA7BF1MGk/VF8vKlDApGI/AAAAAAAGwIo/gWlpSagDQwk/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Makinda kuongoza ujumbe wa Bunge la SADC kumzika Rais Sata Lusaka , Zambia
![](http://3.bp.blogspot.com/-vSzA7BF1MGk/VF8vKlDApGI/AAAAAAAGwIo/gWlpSagDQwk/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda kesho tarehe 10 Novemba, 2014 ataongoza ujumbe wa Bunge la SADC kushiriki Misa Maalum ya kuombea mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Chilufya Sata katika misa maalum itakayofanyika katika viwanja vya Makumbusho Mjini Lusaka, Zambia. Katika ujumbe...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
Wabunge Bunge la SADC wamchagua Mh. Makinda kuwa Rais mpya wa Bunge hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iMOTCLDUKeE/VFc_N0nbQ0I/AAAAAAAGvM8/OHob-J-H71M/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhzB6g8qpxo/VFc_L1If9tI/AAAAAAAGvMo/1uS6w7Hl_-8/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CneLcA4uUac/VFc_MeY1BMI/AAAAAAAGvMs/GftZGY0yGEI/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
5 years ago
MichuziTAASISI YA HAKI FURSA YAMUOMBA SPIKA WA BUNGE KUANDAA TUZO MAALUM KWA AJILI YA KUTAMBUA MCHANGO WA RAIS DK.MAGUFULI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Ofisa Mipango wa Taasisi ya Haki Fursa Kwagilwa Reuben (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi habari leo Mei 27 , 2020 jijini Dar es Salaam kuhusu umuhimu wa Rais Dk.John Magufuli kupewa tuzo maalumu ya kutambua na kuthamini mchango wake katika kupambana na janga la Corona nchini.Kushoto ni Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo Ntimi Charles na kulia ni Ofisa Ustawi wa Jamii wa taasisi hiyo Lwitiko Mwakikuti.
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Haki Fursa Ntimi Charles (katikati) akisikiliza kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tw5G9msem18/Veh1XS8l-5I/AAAAAAAH2J0/-RFTOBVvylI/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Rais Kikwete akutana na Spika na Naibu Spika wa Bunge la Burundi ikulu jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-tw5G9msem18/Veh1XS8l-5I/AAAAAAAH2J0/-RFTOBVvylI/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eGNlnB2NROI/Veh1ZIk_x7I/AAAAAAAH2J8/NIRgF3nRzDQ/s640/unnamed%2B%252856%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ABK3HgHOxZQ/Veh1a1GrqNI/AAAAAAAH2KE/HHAr0lQdHeg/s640/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Nov
Makinda awa Rais mpya Bunge la SADC
MKUTANO wa 36 wa Bunge la nchi wanachana wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), umemchagua kwa kishindo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda kuwa Rais wa Bunge hilo kwa kipindi cha miaka miwili ijayo.
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete aomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mheshimiwa Michael Chilufya Sata (pichani) ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77.
Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa Dkt. Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JJ8Y4H2yKus/XtyQ1KmP0aI/AAAAAAAC6-0/3VooJ736xy8gkV-1jb50lElZG6QpjBtfQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS TRUMP ALIMWA BARUA NA SPIKA WA BUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JJ8Y4H2yKus/XtyQ1KmP0aI/AAAAAAAC6-0/3VooJ736xy8gkV-1jb50lElZG6QpjBtfQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Katika barua hiyo ambayo iliandikwa tarehe 4 Juni, Spika Pelosi amesema kuwa wameshuhudia wanajeshi kwenye ngazi za Lincoln Memorial na sehemu nyingine za jiji la Washington, yalipo makao makuu ya taifa hilo.
==>>Tafsiri ya barua ya Spika Nancy Pelosi kwa Donald...