Mwili wa Dk Mgimwa wawasili nchini
>Vilio, simanzi na majonzi, vilitawala jana katika Uwanja za Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, wakati mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga (CCM), Dk William Mgimwa, aliyefariki dunia Afrika Kusini, ulipowasili nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XTujEtfDBgU/VDk_7kC0hTI/AAAAAAAAX9c/BaMxBL00hY8/s72-c/shija1.jpg)
MWILI WA DR. WILLIAM SHIJA WAWASILI NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-XTujEtfDBgU/VDk_7kC0hTI/AAAAAAAAX9c/BaMxBL00hY8/s1600/shija1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f61GlxBfXZM/VDk_7STw3qI/AAAAAAAAX9Y/LDk3il2z1ME/s1600/shija.jpg)
Shija amewahi kuwa mbunge wa CCM wa jimbo la Sengerema toka mwaka 1990 hadi 2005. Alichaguliwa katika kikao cha 52 cha bunge hilo linalowakutanisha wawakilishi 700 kutoka mabunge ya nchi zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.
Miongoni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mwili wa marehemu Dkt William Shija wawasili nchini leo kutoka London, Uingereza
![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dRNSdR2WYk4/VDmOitBm3yI/AAAAAAAGpRU/bY1KFcnqKfk/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qpIvdc9WOu0/VDmOjOkMm5I/AAAAAAAGpRc/Zt0OECK7EFg/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lx___u66pNE/VDmOZq1zTxI/AAAAAAAGpPk/uHKuFLqMml4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9BTMFS1qhHc/VDmOaGaj0yI/AAAAAAAGpPs/5ffRdeiGbNk/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
UPDATES ya msiba wa Ndg Sebastina Mgimba: Mwili wa marehemu wawasili nchini leo, maziko kufanyika kesho katika makaburi ya Kinondoni
![IMG_7879](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_7879.jpg)
10 years ago
VijimamboUPDATES YA MSIBA WA NDG SEBASTINA MGIMBA : MWILI WA MAREHEMU SEBASTIAN MGIMBA WAWASILI NCHINI JANA, MAZIKO KUFANYIKA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
Msiba wa Marehemu Sebastian Mgimba upo Sinza Kumekucha ambapo baada ya mwili kupokelewa jana uwanja wa ndege wa Dar Es Salaam umepelekwa Kwake Sinza na Hatimaye leoo Kutakuwa na Misa ya kumuombea marehemu na hatimaye Mwili wa Marehemu kupumzishwa Katika Nyumba yake ya Milele Katika Makaburi ya Kinondoni Jijini Dar Es Salaam. Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahala Pema Peponi AminaBwana ametoa na Bwana Ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe![](http://1.bp.blogspot.com/-3-iAi5hjx1s/VHSpsevq5oI/AAAAAAAAdEQ/WWoKGPnKgaw/s1600/IMG_7877.JPG)
Ndugu pamoja na jamaa wa marehemu Sebastian Mgimba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtKjjEZwOmxIR5Cj9dCyG1FEcZzQwHpgFNq77VYKAPPSEzXeRkgIXW3xkmKjAUtOcc2Vyjh2umI5xcKWlH7Yxj1j/satahommage.jpg?width=650)
MWILI WA SATA WAWASILI ZAMBIA
Mwili wa Rais wa Zambia, Michael Sata umewasili leo kwa ndege ya kukodi kutoka London, marais wa zamani Keneth Kaunda, Rukia Banda wameongoza mapokezi, atazikwa Jumanne ya wiki ijayo.
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Mwili wa bilionea Mrema wawasili
Vilio na majonzi vimetawala jana wakati mwili wa mfanyabiashara maarufu nchini marehemu, Maleu Mrema ulipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) ukitokea nchini Afrika Kusini.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kombani1.jpg?width=650)
MWILI WA WAZIRI KOMBANI WAWASILI DAR
Aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya CCM na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Celina Kombani. Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Celina Kombani umewasili muda huu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam. Mwili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MWILI WA AMINA NGALUMA WAWASILI DAR
Amina Ngaluma 'Japanese' enzi za uhai wake. MWILI wa mwimbaji mahiri nchini aliyefariki dunia wiki iliyopita nchini Thailand, Amina Ngaluma ‘Japanese’ umewasili jijini Dar es Salaam usiku huu. Nyota huyo wa zamani wa bendi mbalimbali nchini ikiwamo Double M Sound, African Revolution 'Wana Tamtam', mpaka mauti yanamfika alikuwa mwanamuziki wa bendi ya Jambo Survivors. Kwa mujibu wa mume wa marehemu, Rashid...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania