Mwili wa marehemu Dkt William Shija wawasili nchini leo kutoka London, Uingereza
![](http://2.bp.blogspot.com/-zkXwSwIutKA/VDmOiCeLEVI/AAAAAAAGpRQ/eUm_4aQhDEw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola Dkt William Shija aliyefariki dunia tarehe 4 Oktoba 2014 umewasili nchini leo.
Ndugu, jamaa na marafiki wakimfariji mama Getrude Shija mara alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar Es salaam.
Ndugu, jamaa na marafiki wakimfariji mama Getrude Shija mara alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar Es salaam.
Msalaba
Sehemu ya waombolezaji. Kwa picha zaidi BOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XTujEtfDBgU/VDk_7kC0hTI/AAAAAAAAX9c/BaMxBL00hY8/s72-c/shija1.jpg)
MWILI WA DR. WILLIAM SHIJA WAWASILI NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-XTujEtfDBgU/VDk_7kC0hTI/AAAAAAAAX9c/BaMxBL00hY8/s1600/shija1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f61GlxBfXZM/VDk_7STw3qI/AAAAAAAAX9Y/LDk3il2z1ME/s1600/shija.jpg)
Shija amewahi kuwa mbunge wa CCM wa jimbo la Sengerema toka mwaka 1990 hadi 2005. Alichaguliwa katika kikao cha 52 cha bunge hilo linalowakutanisha wawakilishi 700 kutoka mabunge ya nchi zilizo wanachama wa Jumuiya ya Madola.
Miongoni...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s72-c/s1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA MAREHEMU DKT WILLIAM SHIJA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s1600/s1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Kg735QKSYo/VDpaw82f0_I/AAAAAAAGpfc/Cau2ahdQNZg/s1600/s2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CrCtxSMl_L0/VDqPGQpDPnI/AAAAAAAGpjo/uEqGwm-qJEA/s1600/s3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-S6bW0nzS-po/VDkgqnN_i6I/AAAAAAAGpKI/rlFiI79n7PU/s72-c/unnamed.jpg)
IBADA MAALUM YA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU DR. WILLIAM SHIJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-S6bW0nzS-po/VDkgqnN_i6I/AAAAAAAGpKI/rlFiI79n7PU/s1600/unnamed.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Commonwealth Parliamentary Association (CPA), Dr. William Shija, aliyefariki dunia Jumamosi ya Tarehe 4 Oktoba 2014, umeagwa rasmi jana katika Ibada maalum iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Vincent de Paulo, Osterley, London.
Ibada hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6gQXZJXBnGA/VDeXjueDgRI/AAAAAAAGo9U/uHr0g6HmIsM/s72-c/2007%2BLondon%2BPhotos%2B002.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
UPDATES ya msiba wa Ndg Sebastina Mgimba: Mwili wa marehemu wawasili nchini leo, maziko kufanyika kesho katika makaburi ya Kinondoni
![IMG_7879](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/IMG_7879.jpg)
10 years ago
VijimamboUPDATES YA MSIBA WA NDG SEBASTINA MGIMBA : MWILI WA MAREHEMU SEBASTIAN MGIMBA WAWASILI NCHINI JANA, MAZIKO KUFANYIKA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pXEUfh7MG7Y/UzRBb8OXhoI/AAAAAAAFW0Y/5DoZ66i4xvA/s72-c/unnamed+(50).jpg)
MWILI WA MAREHEMU MKUU WA MKOA WA MARA WAWASILI DODOMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-pXEUfh7MG7Y/UzRBb8OXhoI/AAAAAAAFW0Y/5DoZ66i4xvA/s1600/unnamed+(50).jpg)