MWILI WA WAZIRI KOMBANI WAWASILI DAR
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kombani1.jpg?width=650)
Aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya CCM na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Celina Kombani. Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ulanga Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bi. Celina Kombani umewasili muda huu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam. Mwili...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-j0j5NJnJh-E/VgalfxLeEeI/AAAAAAAH7TQ/SAL8tmtafv4/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM LEO JIONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-j0j5NJnJh-E/VgalfxLeEeI/AAAAAAAH7TQ/SAL8tmtafv4/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1YSTjE2uYY4/VgaccYu7yzI/AAAAAAAH7S4/g_PshX6dQzU/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM MUDA HUU, WATUMISHI WA OFISI YAKE WAMLILIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hITYstu3ZZs/VgaawQi8RFI/AAAAAAAH7So/eSZ6EpsD07E/s320/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu na watumishi wote wa Ofisi ya Rais-Utumishi wataendelea kukukumbuka daima kwa busara zako na uongozi wako mzuri.-------------------------------------------------------------------Wakati huo huo mwili wa Marehemu Celina O. Kombani umewasili muda huu katika uwanja wa ndege wa kimatifa wa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Abdallah-Kigoda.jpg?width=650)
MWILI WA WAZIRI KIGODA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mwili wa Kombani kuagwa Dar leo
9 years ago
Habarileo26 Sep
Mwili wa Kombani kuwasili Dar leo
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam leo saa 9 alasiri kutoka nchini India, alikofariki wakati akipatiwa matibabu ya saratani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MWILI WA AMINA NGALUMA WAWASILI DAR
11 years ago
GPLMWILI WA MAREHEMU AMINA NGALUMA WAWASILI DAR
11 years ago
Michuzi25 Feb
MWILI WA BALOZI KAZAURA WAWASILI DAR KUTOKA INDIA LEO
Waombolezaji wakisukuma jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), marehemu Balozi Fulgence Kazaura ulipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni hii , kutoka India. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadick akwafariji ndugu wa marehemu
Ndugu wakifunua jeneza kuutengeneza mwili wa marehemu Kazaura.
Mwili ukipakiwa kwenye gari tayari kupelekwa kuhifadhiwa...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...