Mwili wa Kombani kuwasili Dar leo
MWILI wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam leo saa 9 alasiri kutoka nchini India, alikofariki wakati akipatiwa matibabu ya saratani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mwili wa Kombani kuagwa Dar leo
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-j0j5NJnJh-E/VgalfxLeEeI/AAAAAAAH7TQ/SAL8tmtafv4/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
MWILI WA MAREHEMU CELINA O. KOMBANI WAWASILI DAR ES SALAAM LEO JIONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-j0j5NJnJh-E/VgalfxLeEeI/AAAAAAAH7TQ/SAL8tmtafv4/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1YSTjE2uYY4/VgaccYu7yzI/AAAAAAAH7S4/g_PshX6dQzU/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Mwili wa Mgimwa kuwasili leo
MWILI wa Waziri wa Fedha na Uchumi, William Mgimwa (63), aliyefariki juzi nchini Afrika Kusini baada ya kuugua kwa muda mrefu, unatarajiwa kuwasili nchini leo. Akitangaza ratiba ya kuwasili kwa...
9 years ago
Michuzi14 Oct
MWILI WA DR KIGODA KUWASILI LEO NCHINI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/aYXCtMiM1SrR4T-dKZInezrtNLUhQOv67Vj0gf9ayhrpBoaJ7l3YZIXzqp2G7TNKuuFV7nkK_aMgBQ2HqkudW9Mj1hHz07gXIqrmb4aTZEXzE4Gn38gHx-wlYvT89ju55rip96p7isqjFrFQiraMosGeyLbdR-0MarFXB-MER-F5xLjF6saM=s0-d-e1-ft#http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2911698/highRes/1146707/-/maxw/600/-/114434kz/-/Abdallah+Kigoda+Photo.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Abdalala Kigoda aliyefariki nchini India unatarajia kuwasili leo mchana tayari kwa ajili ya mazishi.
Ofisa habari wa Bunge, Prosper Minja ameiambia Mwananchi kuwa mwili huo utawasili saa nane mchana kwa ndege ya Emirates na kwenda kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya jeshi ya Lugalo.
Minja amefafanua kuwa shughuli za kuaga mwili huo zitafanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee kuanzia saa mbili...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kombani1.jpg?width=650)
MWILI WA WAZIRI KOMBANI WAWASILI DAR
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mwili wa Balozi Kazaura kuwasili nchini leo
10 years ago
Mwananchi12 May
Mwili wa mtoto Imran kuwasili nchini leo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/JHS5fnHuLYkbSO3gLQNYaXA2gYVBny3D*BeNHqsCK-K2DSGl8zQeKSEvORjocaT26eEDVvyHnKfpXoOWaf-QVTyUdJF7ngg4/Ngaluma.jpg?width=650)
MWILI WA AMINA NGALUMA KUWASILI DAR IJUMAA HII