HARAMBEE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV DOLA 3,000 ZAPATIKANA, WATANZANIA OKLAHOMA NAO WACHANGA JUMLA YA MICHANGO NI 13,1OO
Mary Mgawe(kuli) akiwa mwenye huzuni huku akilia kwa uchungu wa kufiwa na mpendwa baba yake marehemu mzee Eddis Mgawe aliyefariki siku ya Jumapili March 29, 2015 usiku , kushoto ni Jasmine Rubama akimfariji wakati wakiwa kwenye harambee iliyofanyika siku ya Jumatano na kuwezesha kukusanya jumla ya dola 3,000 na kufanya jumla ya fedha zilichangishwa wakiwemo wanaDMV na Watanzania Oklahoma kufikia dola 13,100 lengo lilikua 13,955 kiasi kilichobaki ni dola 855 Familia na kamati inatoa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHARAMBE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV JUMATANO
Familia ya Mgawe na Malinda inawataarifu harambee ya mpendwa Mzee Eddis Mgawe ili kusaidia na hatimae kufanikisha kusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani kwa mazishi, gharama za kusafirisha mwili ni $13,955. Harambee itafanyika siku ya Jumatano April 1, 2015 harambee itafanyika 1702 Pinecone Ct, Bowie, MD 20721 kuanzia saa 11:30 jioni (5:30 pm)
Matarajio ya familia na kamati ni kusafirisha mwili siku ya Ijumaa yote inategemea msaada michango yetu na...
9 years ago
VijimamboWATANZANIA KUDUCHU WALIOJITOKEZA HARAMBEE YA CSI UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC JUMLA YA $2,696 ZAPATIKANA
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Watanzania kiduchu waliojitokeza harambee ya CSI Ubalozi wa Tanzania Washington DC jumla ya $2,696 zapatikana
Ivan Matovu akisherehesha harambee ya Childbirth Survival International iliyofanywa kwa ushirikiano wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015 katika chumba cha mkutano cha Nyerere ndani ya jengo la Ubalozi huo na jumla ya $2,696 zilikusanywa siku hiyo kwa ajili ya kusaidia kuokoa maisha ya wazazi wanaotarajia kujifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Biharamuro. CSI walishawahi toa msaada wa namna hiyo hospitali ya Amana iliyopo Wilaya ya Ilala jijini Dar na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XBe9t0w730Y/VSK4UZiYenI/AAAAAAADhMQ/RL2IHU2hHAs/s72-c/ec284e5423b61457bd37b427b3fcb960.jpg)
MWILI WA MZEE EDDIS MGAWE NA WANAFAMILIA WAWASILI TANZANIA SALAMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XBe9t0w730Y/VSK4UZiYenI/AAAAAAADhMQ/RL2IHU2hHAs/s1600/ec284e5423b61457bd37b427b3fcb960.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yy6tnEbpv2I/VSK4UM3sqaI/AAAAAAADhMc/a66i5G6lbDc/s1600/79257434bced7ea9adde4646e444ba0e.jpg)
10 years ago
VijimamboIBADA YA MISA NA KUAGA MWILI WA MZEE EDDIS MGAWE SILVER SPRING, MARYLAND
11 years ago
MichuziMILIONI 319 ZAPATIKANA KATIKA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA KATOLIKI LA MAKONGO JUU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi07 Apr
MWILI WA HAYATI MZEE MGAWE UMEWASILI TANZANIA
![IMG-20150406-WA0061](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/04/img-20150406-wa0061.jpg?w=714)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wC1_isMF9qg/U-zoF4SlYZI/AAAAAAAF_rc/yM8l0csfkf0/s72-c/blogger-image--1359849879.jpg)
Dola za Marekani milioni 53.8 zapatikana kutokana na mauzo ya vito
![](http://2.bp.blogspot.com/-wC1_isMF9qg/U-zoF4SlYZI/AAAAAAAF_rc/yM8l0csfkf0/s1600/blogger-image--1359849879.jpg)
Jumla ya Dola za Marekani milioni 53.8 zilipatikana kutokana na mauzo ya vito mbalimbali ndani ya nchi kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Uchambuzi na Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito, (TANSORT) kilichopo chini ya Wizara ya Nishati na Madini Archard Kalugendo kwenye semina iliyoshirikisha Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda, Afisa Madini Wakazi na Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini inayoendelea Bagamoyo...
10 years ago
VijimamboWANA DMV WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA KINA MARY MGAWE TANZANIA
Mona, Libe wakiwa na Mary mgawe, Tino, Lukia Mtingwa na Lazia nyumban kwa marehemu
![](http://1.bp.blogspot.com/-W_9l6GVWkSg/VSlV9QhZkcI/AAAAAAAABKw/RyZsh0dbPdg/s1600/Libe%2BTino.jpg)
Mona, Bernad, Augustino na Libe msibani
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10