HARAMBE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV JUMATANO
Mzee Eddis Mgawe Enzi ya uhai wake
Familia ya Mgawe na Malinda inawataarifu harambee ya mpendwa Mzee Eddis Mgawe ili kusaidia na hatimae kufanikisha kusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani kwa mazishi, gharama za kusafirisha mwili ni $13,955. Harambee itafanyika siku ya Jumatano April 1, 2015 harambee itafanyika 1702 Pinecone Ct, Bowie, MD 20721 kuanzia saa 11:30 jioni (5:30 pm)
Matarajio ya familia na kamati ni kusafirisha mwili siku ya Ijumaa yote inategemea msaada michango yetu na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHARAMBEE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV DOLA 3,000 ZAPATIKANA, WATANZANIA OKLAHOMA NAO WACHANGA JUMLA YA MICHANGO NI 13,1OO
Mary Mgawe(kuli) akiwa mwenye huzuni huku akilia kwa uchungu wa kufiwa na mpendwa baba yake marehemu mzee Eddis Mgawe aliyefariki siku ya Jumapili March 29, 2015 usiku , kushoto ni Jasmine Rubama akimfariji wakati wakiwa kwenye harambee iliyofanyika siku ya Jumatano na kuwezesha kukusanya jumla ya dola 3,000 na kufanya jumla ya fedha zilichangishwa wakiwemo wanaDMV na Watanzania Oklahoma kufikia dola 13,100 lengo lilikua 13,955 kiasi kilichobaki ni dola 855 Familia na kamati inatoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XBe9t0w730Y/VSK4UZiYenI/AAAAAAADhMQ/RL2IHU2hHAs/s72-c/ec284e5423b61457bd37b427b3fcb960.jpg)
MWILI WA MZEE EDDIS MGAWE NA WANAFAMILIA WAWASILI TANZANIA SALAMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XBe9t0w730Y/VSK4UZiYenI/AAAAAAADhMQ/RL2IHU2hHAs/s1600/ec284e5423b61457bd37b427b3fcb960.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yy6tnEbpv2I/VSK4UM3sqaI/AAAAAAADhMc/a66i5G6lbDc/s1600/79257434bced7ea9adde4646e444ba0e.jpg)
10 years ago
VijimamboIBADA YA MISA NA KUAGA MWILI WA MZEE EDDIS MGAWE SILVER SPRING, MARYLAND
10 years ago
Michuzi07 Apr
MWILI WA HAYATI MZEE MGAWE UMEWASILI TANZANIA
![IMG-20150406-WA0061](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2015/04/img-20150406-wa0061.jpg?w=714)
10 years ago
VijimamboWANA DMV WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA KINA MARY MGAWE TANZANIA
Mona, Libe wakiwa na Mary mgawe, Tino, Lukia Mtingwa na Lazia nyumban kwa marehemu
![](http://1.bp.blogspot.com/-W_9l6GVWkSg/VSlV9QhZkcI/AAAAAAAABKw/RyZsh0dbPdg/s1600/Libe%2BTino.jpg)
Mona, Bernad, Augustino na Libe msibani
11 years ago
Michuzi22 Jul
11 years ago
MichuziDMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CAROLINE MWAISELAGE DMV
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s72-c/logo.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-tOewzHQxuJ0/UsRgTjbQcXI/AAAAAAAADHw/Lf3-tBifTTw/s1600/logo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UvwL3Rs9NRk/VAnpx8TJ9mI/AAAAAAAAEVE/b48w150g9ko/s1600/logo%2Btanzania.jpg)
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2aN7EqULMVg/VOA-w7tSj5I/AAAAAAAAGA8/TMIs4TSe4zE/s1600/14-1.jpg)
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ccqFpPhBc34/VBGuBz9iYgI/AAAAAAAGi8I/aH55bE2LWKM/s72-c/bandari.jpg)
Mgawe akiri kuusaini Mkataba wa kibiashara kati ya TPA na Kampuni ya China Communications Company Ltd (CCCCL)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ccqFpPhBc34/VBGuBz9iYgI/AAAAAAAGi8I/aH55bE2LWKM/s1600/bandari.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Ephraim Mgawe amekiri katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa aliusaini mkataba wa kibiashara kati ya TPA na Kampuni ya China Communications Company Ltd (CCCCL).
Mgawe amekiri kuusaini mkataba huo wa kibiashara leo wakati akisomewa maelezo ya awali (PH) na Wakili wa Serikali, Pius Hilla mbele ya Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Isaya Arufani.
Akisomewa maelezo ya awali yanayohusiana na shtaka la...