WANA DMV WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA KINA MARY MGAWE TANZANIA
Mona, Libe wakiwa na Mary mgawe, Tino, Lukia Mtingwa na Lazia nyumban kwa marehemu
Mona, Bernad, Augustino na Libe msibani
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Zr7BzqETFt4/VRSrx7cgw3I/AAAAAAADds8/YJXZ0MJ4MIA/s72-c/9fb40a31fa4e0c2d5dbfad1140f946ad.jpg)
WANADMV WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA ALLY MIKIDADI MAGOMENI MAPIPA, DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zr7BzqETFt4/VRSrx7cgw3I/AAAAAAADds8/YJXZ0MJ4MIA/s1600/9fb40a31fa4e0c2d5dbfad1140f946ad.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I4En8XQqjvA/VRSrxoVSjuI/AAAAAAADds0/0KXNG3qA8L4/s1600/6710e4e68d59b2cddeaaec007d20a821.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HSFHD28Zqzk/VXnQA4HrNtI/AAAAAAADrG8/jLpPJt0s-zk/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA YA MSIBA NEW YORK NA TANZANIA, LEO NI SIKU YA MWISHO MWILI WA MAREHEMU UNAPUMZISHWA KWENYE NYUMBA YA MILELE HUKO TANZANIA, WATANZANI TUTAKUTANA NYUMBANI KWA DR TEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-HSFHD28Zqzk/VXnQA4HrNtI/AAAAAAADrG8/jLpPJt0s-zk/s320/unnamed.jpg)
Alizaliwa Uru Shimbwe na alikuwa Mwalimu Lyamungu Secondary School, Moshi Kilimamjaro Tanzania.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania kwa Masikitiko makubwa tunaungana na Mweka na Mweka Hazina wetu Dr.Temba kutangaza kifo cha Kaka yake mpenzi Mzee Flavian Temba kilichotokea ghafla usiku wa June 10,2015 katika Hospitali ya Mawenzi Moshi Kilimanjaro, Tanzania. Kama ilivyo desturi yetu wanajumuiya tuungane na Dr.Temba...
10 years ago
VijimamboHARAMBE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV JUMATANO
Familia ya Mgawe na Malinda inawataarifu harambee ya mpendwa Mzee Eddis Mgawe ili kusaidia na hatimae kufanikisha kusafirisha mwili wa marehemu kwenda nyumbani kwa mazishi, gharama za kusafirisha mwili ni $13,955. Harambee itafanyika siku ya Jumatano April 1, 2015 harambee itafanyika 1702 Pinecone Ct, Bowie, MD 20721 kuanzia saa 11:30 jioni (5:30 pm)
Matarajio ya familia na kamati ni kusafirisha mwili siku ya Ijumaa yote inategemea msaada michango yetu na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Marehemu John alizaliwa mwaka 1957 jijini Dar es Salaam na enzi za uhai wake alikuwa Kapteni wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akiwa rubani wa kurusha ndege za kivita.Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MSIBA DMV NA TANZANIA
Mtanzania mwenzetu Darmatus Nambai anasikitika kutangaza kifo cha mpendwa mama yake mzazi kilichotokea leo Tanzania. Kama ilivyo ada na desturi kupeana pole ndio ustaarabu wetu ukipata wasaa mpitie mfiwa ndugu yetu, kaka yetu mwanaDMV mwenzetu Nambai kuumpa pole na kumfariji katika kipindi hiki kigumu cha kufiwa na mpendwa mama yake mzazi.
DMV msiba upo 4717 Eiderdown Ct, Owings Mills, MD 21117
Kwa taarifa zaidi na maelekezo piga simu Nambai 301 523 1378Rehema 202 904 5029home 410 363...
DMV msiba upo 4717 Eiderdown Ct, Owings Mills, MD 21117
Kwa taarifa zaidi na maelekezo piga simu Nambai 301 523 1378Rehema 202 904 5029home 410 363...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s72-c/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Msiba Tanzania na DMV
![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s1600/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
MZEE MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya kumng'oa...
10 years ago
Vijimambo17 Apr
TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA
Ndugu yetu, dada yetu na Mtanzania mwenzetu Rhoda Kasanga amefiwa na mpendwa baba yake mzazi siku ya Alhamisi April 16, 2015 nyumbani Tanzania.
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s1600/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
MSIBA TANZANIA NA DMV
Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147. Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540 . Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe … ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania