MSIBA DMV NA TANZANIA
Mtanzania mwenzetu Darmatus Nambai anasikitika kutangaza kifo cha mpendwa mama yake mzazi kilichotokea leo Tanzania. Kama ilivyo ada na desturi kupeana pole ndio ustaarabu wetu ukipata wasaa mpitie mfiwa ndugu yetu, kaka yetu mwanaDMV mwenzetu Nambai kuumpa pole na kumfariji katika kipindi hiki kigumu cha kufiwa na mpendwa mama yake mzazi.
DMV msiba upo 4717 Eiderdown Ct, Owings Mills, MD 21117
Kwa taarifa zaidi na maelekezo piga simu Nambai 301 523 1378Rehema 202 904 5029home 410 363...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s72-c/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Msiba Tanzania na DMV
![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s1600/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe
10 years ago
Vijimambo22 Mar
TAARIFA YA MSIBA DMV NA TANZANIA
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s1600/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
MSIBA TANZANIA NA DMV
10 years ago
Vijimambo13 Feb
MSIBA NEW MEXICO, DMV NA TANZANIA
WAFIWA WANATARAJIA KWENDA NYUMBANI JUMAPILI AU JUMATATU KWA SASA UNAWEZA PIGA SIMU NA KUWAPA POLE WAFIWA WATAKAPORUDI TOKA TANZANIA WATATUJULISHA ILI TUWEZEFIKA NYUMBANI KWAO HUKU MAREKANI KUWAPA MKONO WA POLE.SIMU YA LEMMY MAMUYA (505)...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s72-c/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Taarifa ya Msiba Tanzania na DMV
![](http://1.bp.blogspot.com/-bnCVzIzhjvE/U4b9Jk1UQ1I/AAAAAAACrXw/8DDw4iO6t8g/s1600/Mrs.+Aruken+G+Mushi.jpg)
Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-jqZAXBdLc54/VSbl1IEciJI/AAAAAAADhSA/U6eoks9wtmU/s72-c/blogger-image--1012992484.jpg)
MSIBA DMV, KENYA NA TANZANIA
![](https://lh3.googleusercontent.com/-jqZAXBdLc54/VSbl1IEciJI/AAAAAAADhSA/U6eoks9wtmU/s640/blogger-image--1012992484.jpg)
Familia ya Mr. & Mrs. Julius & Janice Manase, wanasikitika kutangaza kifo cha Victor Kabaka (Kaka yake Janice) kilichotokea leo, Alhamisi, 9 April 2015Nairobi, Kenya. Marehemu alipata ajali ya gari Ijumaa3 April 2015 na kulazwa ICU mpaka mautiyalipomfika.
Msiba upo nyumbani kwa Mr. & Mrs. Manase, address:
13600 Ansel Terrace
Germantown MD 20874
Kama ilivyo mila na desturi yetu karibuni tujumuikekutoa mkono wa pole na kuwafariji wafiwa.
Kwa...
10 years ago
Vijimambo17 Apr
TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.
10 years ago
Vijimambo09 Mar
MSIBA DMV NA TANZANIA NA ACCOUNT YA KUMSAIDIA MTOTO GRACE
Adress :11620 Stewart lane apt.404
Silver Spring MD 20904
For additional information you can call telephone nos.202 531 2254 or 240 429 1749 na kuongea na mama au mwana.Mipango ya Kwenda nyumbani inafanyika as soon as possible. Pia unaweza kutoa rambirambi zako...
9 years ago
Vijimambo29 Oct
MSIBA DMV NA TANZANIA: MISA YA MAREHEMU MAMA GREN JUDICA MOSHI
Familia ya Herman Moshi inapenda kuwataarifu ndugu, jamaa na marafiki waishio DMV na vitongoji vyake kwamba misa ya kumuombea mpendwa mama yao Bibi Gren Judica Moshi itafanyika siku ya Jumapili November 1st 2015 kuanzia saa tisa na nusu mpaka saa kumi na moja (3:30 – 5:00pm) katika kanisa la Faith Moravian Church lililopo 405 Riggs Rd NE, Washington DC 20011.
Mama yetu mpendwa Gren alifariki dunia ghafla Tanzania, siku ya Jumamosi October...