Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIBA DMV NA TANZANIA

Mtanzania mwenzetu Darmatus Nambai anasikitika kutangaza kifo cha mpendwa mama yake mzazi kilichotokea leo Tanzania. Kama ilivyo ada na desturi kupeana pole ndio ustaarabu wetu ukipata wasaa mpitie mfiwa ndugu yetu, kaka yetu mwanaDMV mwenzetu Nambai kuumpa pole na kumfariji katika kipindi hiki kigumu cha kufiwa na mpendwa mama yake mzazi.
DMV msiba upo 4717 Eiderdown Ct,     Owings Mills, MD 21117
Kwa taarifa zaidi na maelekezo piga simu Nambai 301 523 1378Rehema 202 904 5029home 410 363...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Msiba Tanzania na DMV


Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147. 
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe 

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MSIBA DMV NA TANZANIA

NDUGU YETU ALLY MUSA MIKIDADI AMEFIWA NA BABA YAKE MZAZI NYUMBANI TANZANIA MIPANGO YA MAZISHI INAENDELEA HUKO NYUMBANI TANZANIA KAMA KAWAIDA NA MILA ZETU KUPEANA POLE NA KUFARIJIANA.TUMFARIJI NDUGU YETU KWA KIPINDI HIKI KIGUMU CHA KUONDOKEWA NA BABA YAKE KIPENZINAMBA YA MFIWA NI201 628 2133.ADRESS6200 AGER ROADHYATTSVILLE MD 20782.

 

11 years ago

GPL

MSIBA TANZANIA NA DMV‏

Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147.  Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540 . Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe … ...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA NEW MEXICO, DMV NA TANZANIA

BWANA LEMMY MAMUYA WA NEW MEXICO NA CAROLINE MAMUYA WA MARYLAND WANASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA BABA YAO DAUSON MAMUYA KILICHOTOKEA SIKU YA ALHAMISI FEBRUARI 12, 2015 NYUMBANI MARANGU MOSHI KAMA ILIVYO MILA NA DESTURI YETU KUPEANA POLE NDIO USTAARABU WETU.
WAFIWA WANATARAJIA KWENDA NYUMBANI JUMAPILI AU JUMATATU KWA SASA UNAWEZA PIGA SIMU NA KUWAPA POLE WAFIWA WATAKAPORUDI TOKA TANZANIA WATATUJULISHA ILI TUWEZEFIKA NYUMBANI KWAO HUKU MAREKANI KUWAPA MKONO WA POLE.SIMU YA LEMMY MAMUYA ‪(505)...

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Msiba Tanzania na DMV


Sarah Mushi wa Ashburn, VA anasikitika kutangaza kifo cha mama yake mzazi Mrs. Aruken Geoffrey Mushi (pichani) kilichotokea Jumatano May 29, 2014. Msiba upo nyumbani kwa mfiwa: 20937 Killawog Terr, Ashburn, VA 20147. 
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na: David Kisanga (703)932-0540.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe 

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV, KENYA NA TANZANIA

Familia ya Mr. & Mrs. Julius & Janice Manase, wanasikitika kutangaza kifo cha Victor Kabaka (Kaka yake Janice) kilichotokea leo, Alhamisi, 9 April 2015Nairobi, Kenya. Marehemu alipata ajali ya gari Ijumaa3 April 2015 na kulazwa ICU mpaka mautiyalipomfika.

 

Msiba upo nyumbani kwa Mr. & Mrs. Manase, address:

13600 Ansel Terrace

Germantown MD 20874

 

Kama ilivyo mila na desturi yetu karibuni tujumuikekutoa mkono wa pole na kuwafariji wafiwa.

Kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO LA MSIBA DMV NA TANZANIA

Ndugu yetu, dada yetu na Mtanzania mwenzetu Rhoda Kasanga amefiwa na mpendwa baba yake mzazi siku ya Alhamisi April 16, 2015 nyumbani Tanzania.
Hapa DMV msiba upo 706 Chillum Rd, Apt 201, Hyttsville, MD 20783
Kupena pole na kufarijiana ndio malezi tuliyokulia ikiwemo upendo na ukarimu. Ukipata muda tafadhali pitia nyumbani kwa mfiwa utoe mkono wa pole au unaweza kumpigia simu 301 272 5922
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA NA ACCOUNT YA KUMSAIDIA MTOTO GRACE

Geraldine Ngowi na Grace Michael Mlingi wa Silver Spring MD ,wanasikitika kutangaza kifo cha baba mzazi wa Grace Mlingi MICHAEL NDASKOI MLINGI kilichotokea Leo jumapili Dar es Salam Tanzania.Msiba utakuwepo nyumbani kwao white oak,MD.
Adress :11620 Stewart lane apt.404
Silver Spring MD 20904
For additional information you can call telephone nos.202 531 2254 or 240 429 1749 na kuongea na mama au mwana.Mipango ya Kwenda nyumbani inafanyika as soon as possible. Pia unaweza kutoa rambirambi zako...

 

9 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA: MISA YA MAREHEMU MAMA GREN JUDICA MOSHI

C:\Users\Manase User\Downloads\IMG_9141.jpgGren J Moshi: Sunrise 15 FEB 1948 – Sunset 24 OCT 2015
Familia ya Herman Moshi inapenda kuwataarifu ndugu, jamaa na marafiki waishio DMV na vitongoji vyake kwamba misa ya kumuombea mpendwa mama yao Bibi Gren Judica Moshi itafanyika siku ya Jumapili November 1st 2015 kuanzia saa tisa na nusu mpaka saa kumi na moja (3:30 – 5:00pm) katika kanisa la Faith Moravian Church lililopo 405 Riggs Rd NE, Washington DC 20011.
Mama yetu mpendwa Gren alifariki dunia ghafla Tanzania, siku ya Jumamosi October...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani