Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALAT wapongeza usimamizi wa miradi ya maendeleo Makete


Na Amiri kilagalila,Njombe

Wajumbe wa jumuiya ya tawala za serikali za mitaa (ALAT) mkoa wa Njombe,wametembelea na kuona maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi ya uthibiti ubora wa shule wilayani humo ambalo Ujenzi wake umekamilika.

Wakiongozwa na mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Njombe Mhe,Hanana Mfikwa,wajumbe hao wamepokea taarifa ya ujenzi wa jengo hilo kutoka kwa mthibiti mkuu ubora wa shule wilaya ya Makete Bw, John Kapinga ambae amesema April 2019 serikali ilitoa fedha za kitanzania kiasi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID) yashiriki mkutano mkuu wa 30 ALAT jijini Dar es Salaam

DSC_0085

Naibu waziri wa TAMISEMI,Khasim Majaliwa,akipata maelezo na kusaini kitabu cha wageni kutoka kwa Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Tasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu chini ya Wizara ya Fedha, Bw, Uli Mtebe

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID) inayoshiriki  mkutano  mkuu wa miaka wa 30 wa jumuia za  Serikali za Mitaa Nchini (ALAT), unaofanyika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.Mkutano huo ulioanza...

 

9 years ago

Michuzi

UDHAIFU WA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI NI CHANGAMOTO KATIKA KULETA KASI YA MAENDELEO NDANI YA JAMII

Tanzania ya leo, imepitia mabadiliko mengi yanayogusa kila sekta tangu ilipojikomboa na kuwa nchi huru baada miaka 53 ya utawala wa kikoloni. Kwa mfano, katika kipindi hicho hadi sasa, nchi imeshuhudia kuimarika kwa huduma mbalimbali za kijamii. Kwa uchache, huduma hizi ni pamoja na afya, elimu, demokrasia, utalii, viwanda na miundombinu mbalimbali. 
 Katika sekta ya elimu, ongezeko kubwa la shule kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu limeshuhudiwa. Hii ni moja ya hatua kubwa kuwahi kufikiwa...

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAPONGEZA MIRADI YA TASAF SINGIDA

 Mkuu wa Mkoa wa Singida  Dkt. Rehema Nchimbi akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mwenge, nyuma  yake ni Kamati ya Kudumu ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa iliyotembelea kukagua  Katibu Tawala Mkoa wa Singida, Dkt. Anjelina Lutambi akiwahutubia wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Mwenge nyuma yake in Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa.
  Mkurugenzi Mkuu wa  TASAF Radislaus Mwamanga akiangalia bidhaa za sabuni zinazotengenzwa na mnufaika wa...

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi

Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.

 

9 years ago

Vijimambo

WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI WA MIRADI WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.

Mheshimiwa Balozi Wilson Masilingi kwenye picha ya pamoja na watanzania washiriki mafunzo ya uimarishaji na
usimamizi wa miradi ya ushirikiano kwa njia ya Public Private Partneship hasa sekta ya nishati na madini walipofika kutembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC .Baadhi ya Washiriki wa semina kutoka wizara mbalimbali wakimsikiliza kwa makini Mhe Balozi Wilson Masilingi alipokua akiwakaribisha na kutoa yake machache.
Pichani ni waandaaji wa semina hiyo waliokua wameongozana na wenyeji...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFANYA KIKAO CHA MAENDELEO NA WANAMAKETE WAISHIO JIJINI DAR

 Mkuu wa wilaya ya Makete mh Josephine Matiro akizungumza katika kikao hicho.
Wananchi waliozaliwa wilayani Makete mkoani Njombe ambao wanaishi nje ya wilaya hiyo, wameshauriwa kuipenda wilaya yao kwa kuja kuwekeza pamoja na kushiriki katika shughuli mbalimbali za maendeleo ndani ya wilaya hiyo
Rai hiyo imetolewa hii leo na Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro katika kikao baina yake na wananchi wa Makete waishio jijini Dar es Salaam kilichofanyika jijini humoKatika kikao hicho mkuu...

 

11 years ago

Michuzi

Kituo cha mafunzo chazinduliwa kuiongezea thamani soko la ajira la uhandisi na usimamizi wa miradi

 Debra Backlund, one of the founders of Desktop Publishing Institute (DPI) speaks during the launch of Computer Aided Drafting and Design (CADD) Center Dar es Salaam, which is a franchise of CADD Center India. The Center plans to train more than 1,200 Tanzanians in professional architectural, engineering and project management job sector annually. Right is Tanzania Commissioner for Education Prof. Eustella Bhalalusesa and center is Director at CADD Center Dar es Salaam Shafiq Abdulrasul.

 

5 years ago

Press

Tume ya Mipango yazindua Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika Sekta ya Umma

Tume ya mipango imezindua kitabu cha Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma (Public Investment Management Operational Manual) kwa lengo la kuimarisha utendaji, uwajibikaji na kuleta ufanisi katika matumizi ya rasilimali za umma zinazoelekezwa katika miradi ya maendeleo.

SONY DSC

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango akionesha kitabu cha Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma (Public Investment...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII

Na Mwandishi Wetu Arusha

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.

Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani