Tume ya Mipango yazindua Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika Sekta ya Umma
Tume ya mipango imezindua kitabu cha Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma (Public Investment Management Operational Manual) kwa lengo la kuimarisha utendaji, uwajibikaji na kuleta ufanisi katika matumizi ya rasilimali za umma zinazoelekezwa katika miradi ya maendeleo.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango akionesha kitabu cha Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma (Public Investment...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
VijimamboOFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
Mapema wiki iliyopita Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilitembelea miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini ili kukagua utekelezaji wake. Miradi hiyo ni pamoja na Kituo cha kuzalisha samaki Morogoro, Skimu ya Umwagiliaji Iringa vijijini, Maghala ya COWABAMA Iringa Vijijini, Ujenzi wa Barabara ya Iringa – Dodoma, Bwawa la Mtera, Ujenzi wa Barabara ya Manyoni – Itigi, utandikaji wa Reli eneo kati ya Kitaraka na Malongwe, Shamba la Kitengule, One Stop Border Post Mutukula, Mkongo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s72-c/DSC08155.jpg)
TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI WA UMEME WA UPEPO SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSF5n3oGuPM/VaNxkDav0kI/AAAAAAAHpQ4/icA-ulW9YnE/s640/DSC08155.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sCegTkUfKcQ/VaNxjDgewaI/AAAAAAAHpQw/R8-WTZBdpSs/s640/DSC08157.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y_SQMHXDZG4/VaNxkBcDN4I/AAAAAAAHpRA/TL5kSRUISsw/s640/DSC08174.jpg)
10 years ago
Michuzi27 Feb
UTEUZI KATIKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA).
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...
10 years ago
Vijimambo12 Dec
TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YATEMBELEA MELI YA KIHISTORIA YA MV LIEMBA
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcWCUrGeoL6-1UvJUiK79K57IOCFMo-5Sq37MdJtP1GWNdU*AfGB*jQItK7OCURoR3MFc7yd3JpBwZ*A9k576sqB/Shehe.jpg)
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcV355A3VYbtG4WLPTa5uP5dOyGyYPPcNnr0Me7qkWmDiVuU2wWTPEk5*1ly4v7e9bpoo9p2bYEEV9Wg0JoqaTSL/KATIBUBAKWATA.jpg)
Marehemu Killa alianguka chooni nyumbani kwake, Mtaa wa Majengo jijini hapa Desemba 7, mwaka huu na kukimbizwa Hospitali ya Rufaa...
11 years ago
Michuziwataalam wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais (Tume ya Mipango) watembelea Mtambo wa Maji wa Ruvu Chini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7K3rP4WZ2qM/VAiRmKcEy2I/AAAAAAAGeF0/IO9w5u_eyC0/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
Kongamano la 12 la Uwekezaji katika sekta ya Madini linalofanyika kila mwaka katika mji wa Perth nchini Australia
![](http://2.bp.blogspot.com/-7K3rP4WZ2qM/VAiRmKcEy2I/AAAAAAAGeF0/IO9w5u_eyC0/s1600/unnamed%2B(91).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdQV_aYMEUY/VAiRmIXd6TI/AAAAAAAGeF4/vD-JuEJ3YQk/s1600/unnamed%2B(92).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dBDvX5cjTVI/VAiRmWm0ELI/AAAAAAAGeF8/wZjBs1Dhj8s/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
9 years ago
Michuzi20 Dec
OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA VITUO VYA KUZALISHA UMEME VYA KIDATU NA KIHANSI
![SONY DSC](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/kid3.jpg)
![SONY DSC](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/kid4.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania