UTEUZI KATIKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA).
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f83iWIcmGmE/VQb_BzHj0PI/AAAAAAAHKzQ/zzc6eD-7aRQ/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Rais Kikwete awaapisha wajumbe wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-f83iWIcmGmE/VQb_BzHj0PI/AAAAAAAHKzQ/zzc6eD-7aRQ/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
MichuziTUME YA UTUMISHI WA UMMA KUANZA KUSIKILIZA KERO NA MALALAMIKO YA WATUMISHI WA UMMA
Tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona inapewa kipaumbele katika kipindi hiki. Tunatakiwa kuzingatia Miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya pamoja na maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Nchi. Aidha, watumishi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RNAeHv9DUsA/U8bi-1P6_rI/AAAAAAAF27I/cO_-a36jhtQ/s72-c/unnamed+(5).jpg)
UJUMBE WA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YA UGANDA WATEMBELEA TUME YA UTUMISHI YA MAHAKAMA YA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RNAeHv9DUsA/U8bi-1P6_rI/AAAAAAAF27I/cO_-a36jhtQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Tume ya Utumishi wa Umma yaendelea kuimarisha uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu za masuala ya ajira
Naibu Katibu wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bi. Neema Tawale akieleza kwa waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu tathmini ya Tume juu ya uzingatiaji wa sheria,kanuni na taratibu za masuala ya ajira katika utumishi wa uuma, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Kaimu Katibu Msaidizi wa Tume hiyo Bw. John Mbisso.
Kaimu Katibu Msaidizi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma Bw. John Mbisso akiongea na waandishi wa (Hawapo pichani) kuhusu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pvruC2ME_w4/VFJMrVW5-CI/AAAAAAAGuP8/PpYCBpApITc/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
Rais Kikwete afungua Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya Utumishi wa Umma jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-pvruC2ME_w4/VFJMrVW5-CI/AAAAAAAGuP8/PpYCBpApITc/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1k9faOIbmBY/VFJMsFUu2HI/AAAAAAAGuQA/5CSz10Tki-k/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eS0WmH4WqZw/VFJMsQfevvI/AAAAAAAGuQQ/V7Jjbi3GF9M/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0hbezVqRC2w/VFJMs7Vhf5I/AAAAAAAGuQI/JgpcJQkrdeY/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
5 years ago
MichuziKamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kufanya mkutano wake wa kisheria mwaka wa fedha 2019/2020 jijini dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bapb0hcR0Yg/Xnixt20uv8I/AAAAAAALkyY/ghAkPEwG_-8HMXhaqiJjnfV5N_Cj3l84ACLcBGAsYHQ/s1600/PRESS%2BRELEASE%2BMKUTANO%2BWA%2BTUME%2BNAMBA%2B%2B3%2B-%2B2019-20.jpg)
5 years ago
Press13 Feb
Tume ya Mipango yazindua Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika Sekta ya Umma
Tume ya mipango imezindua kitabu cha Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma (Public Investment Management Operational Manual) kwa lengo la kuimarisha utendaji, uwajibikaji na kuleta ufanisi katika matumizi ya rasilimali za umma zinazoelekezwa katika miradi ya maendeleo.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango akionesha kitabu cha Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma (Public Investment...
5 years ago
CCM BlogHOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MHE. JAJI WA RUFAA (MST) SEMISTOCLES KAIJAGE KWENYE MKUTANO WA TUME NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA MWL. NYERERE TAREHE 23 MACHI, 2020
• Mheshimiwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,• Waheshimiwa Wajumbe wa Tume,• Mkurugenzi wa Uchaguzi,• Msajili wa Vyama vya Siasa,• Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa,• Viongozi wa Vyama vya Siasa,• Mwakilishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu,• Inspekta Jenerali wa Polisi,• Kamishna Mkuu wa Uhamiaji• Watendaji wa Tume,• Waandishi wa Habari,• Mabibi na Mabwana
Bwana...