Rais Kikwete afungua Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya Utumishi wa Umma jijini Dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-pvruC2ME_w4/VFJMrVW5-CI/AAAAAAAGuP8/PpYCBpApITc/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya utumishi wa Umma lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam .
Sehemu ya washiriki wa Kongamano la Maadhimiso ya miaka 10 ya tume yaUtumishi wa Umma lililofanyika jijini Dar es Salaam leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Maadhimiso ya miaka 10 ya tume ya Umma lililofanyika jijini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Rais Kikwete afungua mkutano wa wakuu wa Utumishi wa Umma wa jumuiya ya madola jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Wakuu wa Utumishi wa Umma wa Jumuiya ya Madola Barani Afraik jana (Jumatatu Julai 13, 2015) Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo wa siku 3 unatarajia kufungwa Jumatano Julai 15, 2015. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Celina Kombani na Naibu Katibu Mkuu wa Jumiya hiyo, Bi. Josephine Ojiambo.
Naibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof....
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Rais Kikwete mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 10 ya utumishi wa umma
Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bi Claudia Mpangala akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Kongamano la maadhimisho ya Miaka 10 ya Tume hiyo tangu kuanzishwa kwake ambapo Kongamano hilo litawahusisha Mawaziri, KatibuMkuu Kiongozi na Watendaji Wakuu kutoka katika Wizara, Idara zinazojitegemea,Taasisi na Mashirika ya Umma. Kulia ni Naibu katibu wa Tume hiyo Bi NeemaTawale.
5 years ago
MichuziKamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kufanya mkutano wake wa kisheria mwaka wa fedha 2019/2020 jijini dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bapb0hcR0Yg/Xnixt20uv8I/AAAAAAALkyY/ghAkPEwG_-8HMXhaqiJjnfV5N_Cj3l84ACLcBGAsYHQ/s1600/PRESS%2BRELEASE%2BMKUTANO%2BWA%2BTUME%2BNAMBA%2B%2B3%2B-%2B2019-20.jpg)
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua maadhimisho ya Nane ya Siku ya Haki za Binadamu Duniani, Jijini Dar Leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yy-u4HVVerM/Vml87JgeJ6I/AAAAAAACmtM/G163z52bbP8/s640/3.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipunga mkono kupokea maandamano ya wananchi kwenye Viwanja vya Karimjee katika Maadhimisho ya Nane ya Kitaifa ya Siku ya Haki za Binadamu Duniani, yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Dec 10, 2015. (Picha Zote na Ofisi ya Makamu wa Rais).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Bahame...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_-u_KHINui8/VC0o7v7VC1I/AAAAAAADGjQ/PkV8GWOlj-Y/s72-c/8.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-_-u_KHINui8/VC0o7v7VC1I/AAAAAAADGjQ/PkV8GWOlj-Y/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-y60To8TK8WA/VC0o8h-N6iI/AAAAAAADGjc/hO0hweCuwRY/s1600/9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DTYxmqKbg_s/VC0o42c9fhI/AAAAAAADGi0/dJrDMGzSIMo/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-80APhYddeww/VC0o6jXcKMI/AAAAAAADGjI/s1gj2FNw9YE/s1600/3.jpg)
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA UKANDA WA KATI JIJINI DAR LEO
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais Kikwete afungua rasmi Barabara ya Mwenge-Tegeta jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-6KANjx5FtBk/VCvemttMeZI/AAAAAAAGm84/HBhnEbb8yNo/s1600/0L7C2141.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZfP8BJgGgY/VCvfVW-5n5I/AAAAAAAGm9o/h4KBEhQOEeE/s1600/0L7C2146.jpg)
11 years ago
MichuziMaadhimishi ya Wiki ya Utumishi wa Umma yaanza leo jijini Dar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lnGRFojWZEs/UvN-bfn7NOI/AAAAAAAFLNA/W49eOMEI2eg/s72-c/jk3.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-lnGRFojWZEs/UvN-bfn7NOI/AAAAAAAFLNA/W49eOMEI2eg/s1600/jk3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dumy6R-ksF4/UvOBJKTbyLI/AAAAAAAFLOE/K7k5uRjFBF0/s1600/cc6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OgqQpH6N-Ck/UvOBJJEfpKI/AAAAAAAFLOA/0sMGkN_PNa0/s1600/cc8.jpg)