Kocha Kibadeni aibua mpya kutolewa Kili Stars
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibaden amedai Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) lilichangia timu yake kutolewa katika michuano ya Chalenji.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Nov
Kibadeni kocha Kili Stars
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.
9 years ago
Habarileo17 Nov
Kibadeni atangaza Kili Stars
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s72-c/kibadeniii.jpg)
KOCHA KIBADENI KUANZA KUINOA KILIMANJARO STARS
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-6h12Zwfb4/VkMKOcLWcxI/AAAAAAAIFQw/y6m2wKLJPr0/s400/kibadeniii.jpg)
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi zingine zinazoshiriki michuano hiyo...
9 years ago
Bongo511 Nov
Abdallah ‘King’ Kibadeni ateuliwa kuwa kocha wa Kilimanjaro Stars
![Abdallah Kibadeni during a training session with Simba SC. TFF sources claim that the former Taifa Stars attacking midfielder will take charge of the Mainland side, Kilimanjaro Stars, for the 2015 Cecafa Challenge Cup. photo | file](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/pic-kili-stars-300x194.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ atasaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.
Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.
Nchi hizo zinazoshiriki michuano hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MPYA STARS
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Kocha mpya Stars ataka muda
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Martinus Ignatus ‘Mart Nooij’, ameshindwa kuzungumzia kiwango alichokiona juzi dhidi ya Burundi na kudai kuwa anatakiwa kupewa muda ili afanye...
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Taifa Stars yapata kocha mpya
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Wamalawi kumpima kocha mpya Stars leo
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake mpya, Mholanzi Martinus Ignatius ‘Mart’ Nooij, leo wanawakabili Malawi ‘The Flames’ katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayochezwa Uwanja...