Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA, UONJWE WE POMBE YA KIENYEJI?

Jamani hebu nitumieni basi mvuke salama, hivi muoaji wa kweli humuonja mwanamke ndipo amuoe kweli? Mmh! Simpendi jamani mwanamke kugeuzwa chungu cha mboga kuingiza mkono na kuonja. Utaonjwa na wangapi mwisho wa siku unabaki kituko cha mtaa. Najua utashangaa kuona nimeanza na gia kubwa bila hata kutanguliza salamu, kwa kweli jambo linaloniudhi salamu kwangu si muhimu, kama kulizungumzia lililouchefua moyo wangu. Juzi nilipata...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Unywaji pombe za kienyeji Rombo wadhoofisha vijana

POMBE ni kinywaji chochote chenye kileo ambacho ‘hunika’ akili ya mnywaji kwa njia ya ladha na starehe. Kuna utengenezwaji wa aina mbili za pombe zikiwemo zile za kiwandani ambazo viwango...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pombe za kienyeji zachangia ongezeko la VVU Kigoma

WATANZANIA wengi hasa waliopo vijijini wanakunywa sana pombe za kienyeji kuliko zinazotengenezwa viwandani. Takwimu za Shirika la afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zenye...

 

5 years ago

Michuzi

SINGIDA KUFUNGA VILABU VYA POMBE ZA KIENYEJI KWA WASIOFUATA MASHARTI YA KUJIKINGA NA KORONA


Na Jumbe Ismailly SINGIDA

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dkt Rehema Nchimbi amesema serikali Mkoani hapa inatarajia kuwafungia watu wote wanaofanya biashara za kuuza pombe za asili (kienyeji) watakaoshindwa kutekeleza maagizo ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Dkt Nchimbi alitoa agizo hilo kwenye mkutano wa Baraza la Jumuiya wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Singida waliokutana kujadiliana pamoja na mambo mengine tahadhari ya kujikinga na janga na kitaifa la ugonjwa hata korona....

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

10 years ago

Raia Mwema

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wajawazito acheni dawa za kienyeji’

KINA mama wilayani hapa wametakiwa kuacha kutumia dawa za kienyeji ili kuendeleza uchungu wa kujifungua pindi wanapokuwa wajawazito. Wito huo ulitolewa mjini hapa jana na Mratibu wa Afya ya Uzazi...

 

11 years ago

GPL

20% ANASWA KWA MGANGA WA KIENYEJI

Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo Makubwa! Kichwa cha Bongo Fleva kutoka pande za Kimanzichana mkoani Pwani, Abas Kinzasa ‘20%’, anadaiwa kunaswa laivu akiwa kwa mganga wa kienyeji akipata tiba ya kupunguza na kuondoa sumu ya utumiaji wa bangi na pombe, Ijumaa Wikienda lina ‘pakeji’ kamili. Abas Kinzasa ‘20%’. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, ishu hiyo ilijiri katika Kijiji cha Ngukumo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumbe Kingunge ni mganga wa kienyeji!

TUME ya Mabadiliko ya Katiba iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete chini ya uenyekiti wa mstaafu Jaji Joseph Warioba imeshirikisha makundi mbalimbali ya wananchi ingawa kuna mengine yaliyosahauliwa. Nilivutiwa na jina...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais

MGANGA wa kienyeji kutoka Mkuranga mkoani Pwani, amemtabiria mgombea urais kupitia chama cha upinzani iwapo ataendelea kutumia fedha kurubuni wananchi wamchague atapoteza maisha kabla siku ya uchaguzi.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana mganga huyo aliyejitambulisha kwa jina la Elisha Kazimoto, ambaye hata hivyo hakutaka kutaja jina la mgombea huyo alisema ameoteshwa na mizimu kuwa anatumia fedha zinazochovywa kwenye damu na kugaiwa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani