‘Wajawazito acheni dawa za kienyeji’
KINA mama wilayani hapa wametakiwa kuacha kutumia dawa za kienyeji ili kuendeleza uchungu wa kujifungua pindi wanapokuwa wajawazito. Wito huo ulitolewa mjini hapa jana na Mratibu wa Afya ya Uzazi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Jan
Wajawazito washauriwa kutotumia dawa za uchungu za kienyeji
WAJAWAZITO wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameaswa kutojifungulia nyumbani.
11 years ago
GPLWANYWA DAWA YA MGANGA WA KIENYEJI, WAUGUA
11 years ago
Dewji Blog21 May
Afariki dunia porini akitafuta dawa ya kienyeji
Na Nathaniel Limu, Singida
MKAZI wa Kijiji cha Chang’ombe kata, tarafa na wilaya ya Manyoni mkoani Singida Andrew Mlunda (40),amefariki dunia akiwa porini kutafuta na kuchimba dawa ya kienyeji.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida,SACP, Geofrey Kamwela amesema marehemu aliondoka nyumbani kwake juzi saa 10.00 jioni akiwa amebeba shoka na kuiaga familia yake kuwa anakwenda porini kutafuta dawa yake ya kifua kwani alikuwa anahisi maumivu.
Kamwela amesema kuwa tangu alipoondoka hakurudi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRMwckxg30/XnDFJvIT4XI/AAAAAAALkII/Y4hYrXfBoXMTOKjZe4wvLHKjIl1rsL4VACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv70a44aee1aa1m9pj_800C450.jpg)
Waganga wa kienyeji Tunisia wavuna kwa kuuza 'dawa ya Corona'
![](https://1.bp.blogspot.com/-zBRMwckxg30/XnDFJvIT4XI/AAAAAAALkII/Y4hYrXfBoXMTOKjZe4wvLHKjIl1rsL4VACLcBGAsYHQ/s640/4bv70a44aee1aa1m9pj_800C450.jpg)
Katika mji mkuu Tunis, wananchi wameendelea kumiminika katika soka la jadi la Souk el-Blat lenye waganga wa kienyeji kutafuta kinga au tiba ya Corona.
Mbali na kwenda kwa waganga wa kienyeji, baadhi ya...
10 years ago
Habarileo11 Sep
Dawa za kuongeza uchungu hatari kwa wajawazito
MATUMIZI ya dawa za kienyeji kwa ajili ya kuongeza uchungu na kujifungua mapema, imeelezwa kuchangia zaidi vifo kwa wajawazito.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UssxI0Cvnds/Xl1i3Do3ZgI/AAAAAAALgdo/jocZjqv68wMjdrWI-DepgGrF0tbXyu0QQCLcBGAsYHQ/s72-c/6e821ca6-0000-45ab-9998-1f6f0231cebe.jpg)
WATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI
Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Kumbe Kingunge ni mganga wa kienyeji!
TUME ya Mabadiliko ya Katiba iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete chini ya uenyekiti wa mstaafu Jaji Joseph Warioba imeshirikisha makundi mbalimbali ya wananchi ingawa kuna mengine yaliyosahauliwa. Nilivutiwa na jina...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JQbgrkxt9uewYa-9tzfwS8K21bAtp13rzBmzyhxRFQm4B6AiBppgr71iNM8nVdqtlRy7jUwbxu1IazkPgLf3maz9d62e3XrW/Vanessa3.jpg)
SHOGA, UONJWE WE POMBE YA KIENYEJI?