Wajawazito washauriwa kutotumia dawa za uchungu za kienyeji
WAJAWAZITO wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameaswa kutojifungulia nyumbani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Sep
Dawa za kuongeza uchungu hatari kwa wajawazito
MATUMIZI ya dawa za kienyeji kwa ajili ya kuongeza uchungu na kujifungua mapema, imeelezwa kuchangia zaidi vifo kwa wajawazito.
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
‘Wajawazito acheni dawa za kienyeji’
KINA mama wilayani hapa wametakiwa kuacha kutumia dawa za kienyeji ili kuendeleza uchungu wa kujifungua pindi wanapokuwa wajawazito. Wito huo ulitolewa mjini hapa jana na Mratibu wa Afya ya Uzazi...
10 years ago
Habarileo15 Aug
Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu
IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.
11 years ago
GPLWANYWA DAWA YA MGANGA WA KIENYEJI, WAUGUA
11 years ago
Dewji Blog21 May
Afariki dunia porini akitafuta dawa ya kienyeji
Na Nathaniel Limu, Singida
MKAZI wa Kijiji cha Chang’ombe kata, tarafa na wilaya ya Manyoni mkoani Singida Andrew Mlunda (40),amefariki dunia akiwa porini kutafuta na kuchimba dawa ya kienyeji.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida,SACP, Geofrey Kamwela amesema marehemu aliondoka nyumbani kwake juzi saa 10.00 jioni akiwa amebeba shoka na kuiaga familia yake kuwa anakwenda porini kutafuta dawa yake ya kifua kwani alikuwa anahisi maumivu.
Kamwela amesema kuwa tangu alipoondoka hakurudi...
5 years ago
MichuziWaganga wa kienyeji Tunisia wavuna kwa kuuza 'dawa ya Corona'
Katika mji mkuu Tunis, wananchi wameendelea kumiminika katika soka la jadi la Souk el-Blat lenye waganga wa kienyeji kutafuta kinga au tiba ya Corona.
Mbali na kwenda kwa waganga wa kienyeji, baadhi ya...
5 years ago
MichuziWATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI
Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...
10 years ago
BBCSwahili22 May
Wanawake kutotumia WhatsApp,Chechnya
10 years ago
Habarileo09 Feb
Waaswa kutotumia nyumba za ibada kunadi wagombea
VIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwakumbatia na kuwanadi baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi mbele ya waumini wao kwa kutumia nyumba za ibada.