Wanawake kutotumia WhatsApp,Chechnya
Kiongozi wa Chechnya Ramzan Kadyrov amewataka wanaume kuwazuia wake zao kutumia mtandao wa kijamii wa WhatsApp.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s72-c/001.DODOMA.jpg)
MADEREVA WAHIMIZWA KUTOTUMIA KILEVI WANAPOENDESHA MAGARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s640/001.DODOMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOnUP-K-oYA/Vnj308eyqPI/AAAAAAAINzo/5Qi6ASs4HIU/s640/002.DODOMA.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Jan
Wajawazito washauriwa kutotumia dawa za uchungu za kienyeji
WAJAWAZITO wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameaswa kutojifungulia nyumbani.
10 years ago
Habarileo09 Feb
Waaswa kutotumia nyumba za ibada kunadi wagombea
VIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwakumbatia na kuwanadi baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi mbele ya waumini wao kwa kutumia nyumba za ibada.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fbj_BLB7Kyw/U3i45flF3uI/AAAAAAAFjig/W5DEZ1mUY_g/s72-c/unnamed+(13).jpg)
WALIMU WAASWA KUTOTUMIA VIROBA WAKATI WA KUFUNDISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fbj_BLB7Kyw/U3i45flF3uI/AAAAAAAFjig/W5DEZ1mUY_g/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_cHnwGFglTs/U3i45xrRChI/AAAAAAAFjik/ZaofG3gB-Wc/s1600/unnamed+(14).jpg)
Na John Gagarini, Kibaha
OFISA Elimu Mkoa wa Pwani Yusufu Kipengele amewataka walimu mkoani humo kuachana na tabia ya kutumia vilevi waingiapo madarasani kufundisha kwani hali hiyo inachangia kushuka kwa kiwango...
10 years ago
GPLRAZA AWAONYA WAGOMBEA URAIS KUTOTUMIA RUSHWA
9 years ago
StarTV11 Nov
Maafisa ugani walaumiwa kutotumia taaluma yao Mkinga
Maafisa ugani wamelaumiwa kwa kushindwa kutumia taaluma yao vizuri kuwaelimisha wakazi wa Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga kutumia fursa ya ardhi nzuri waliyonayo kwa ajili ya shughuli za kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwamtumu Mahiza amesema licha ya halmashauri hiyo kuwa na maafisa ugani wa kutosha wameshindwa kuonyesha mchango wao hususani kwenye suala la kilimo.
Ziara ya mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza yenye lengo la kukagua na kuhimiza shughuli za maendeleo katika wilaya mbalimbali za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W_JCtR7QwfM/XrENxxLAWYI/AAAAAAALpKk/o2hUwFENpJ0R83fIy16lWgGI3A2qQSVxACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200503-WA0028.jpg)
KAMALA AWASHAURI VIJANA WENZAKE KUTOTUMIA VIBAYA MITANDAO HIYO YA KIJAMII.
![](https://1.bp.blogspot.com/-W_JCtR7QwfM/XrENxxLAWYI/AAAAAAALpKk/o2hUwFENpJ0R83fIy16lWgGI3A2qQSVxACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200503-WA0028.jpg)
John George Kamala, Kijana anayejihusisha na masuala ya mitindo (model) amewataka vijana kutokutumia vibaya mitandao ya kijamii bali waitumie kujiingizia kipato.
Kamala pia amekuwa moja ya vijana wanaojiingizia kipato kupitia mtandao wa kijamii YouTube.
Amesema, ukiitumia vizuri mitandao ya Kijamii inakuleta manufaa makubwa sana bila kumtegemea mtu akusaidie na zaidi utajulikana kwa upana zaidi na watu mbalimbali.
Kamala amewasihi vijana wote kuacha kutumia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Fp2St3AGOlQ/VFoLoqTe7rI/AAAAAAAGvoM/hl6lA880Mf4/s72-c/unnamedM1.jpg)
Madereva watakiwa kutotumia simu wakati wanaendesha vyombo vya moto
Kamanda Mpiga, alitoa wito huo leo katika hafla ya kupokea pete maalum kutoka kampuni ya Vodacom ikiwa ni mwendelezo wa kampeni yake inayojulikana kama “Wait to Send” inayohamasisha madereva wa vyombo vya magari kuacha matumizi ya simu wanapokwa...