WALIMU WAASWA KUTOTUMIA VIROBA WAKATI WA KUFUNDISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fbj_BLB7Kyw/U3i45flF3uI/AAAAAAAFjig/W5DEZ1mUY_g/s72-c/unnamed+(13).jpg)
baadhi ya walimu wakuu wa shule za sekondari Tanzania kanda ya mashariki kupitia umoja wao TAHOSSA wakimsikiliza ofisa elimu mkoa wa pwani hayupo alipofungua mkutano wao mjini Kibaha.
Picha ya pamoja na baadhi ya walimu wakuu wanaounda umoja wao wa TAHOSSA Kanda ya mashariki.
Na John Gagarini, Kibaha
OFISA Elimu Mkoa wa Pwani Yusufu Kipengele amewataka walimu mkoani humo kuachana na tabia ya kutumia vilevi waingiapo madarasani kufundisha kwani hali hiyo inachangia kushuka kwa kiwango...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Feb
Waaswa kutotumia nyumba za ibada kunadi wagombea
VIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwakumbatia na kuwanadi baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi mbele ya waumini wao kwa kutumia nyumba za ibada.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Fp2St3AGOlQ/VFoLoqTe7rI/AAAAAAAGvoM/hl6lA880Mf4/s72-c/unnamedM1.jpg)
Madereva watakiwa kutotumia simu wakati wanaendesha vyombo vya moto
Kamanda Mpiga, alitoa wito huo leo katika hafla ya kupokea pete maalum kutoka kampuni ya Vodacom ikiwa ni mwendelezo wa kampeni yake inayojulikana kama “Wait to Send” inayohamasisha madereva wa vyombo vya magari kuacha matumizi ya simu wanapokwa...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Walimu EAC sasa ruksa kufundisha nchi wanachama
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s72-c/01.jpg)
Walimu waaswa kuwa wazalendo kuwafundisha wanafunzi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-G6b7Baiu2Iw/Vnjrbz4O3BI/AAAAAAAINyQ/hH84fnIEP9s/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LHIrtOMzwfA/Vnjrc55awAI/AAAAAAAINyo/b8I3lVdF8aI/s640/04.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Maafisa Habari na Mawasiliano waaswa kutoa taarifa zinazohusu taasisi zao kwa wakati
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Maafisa Habari na Mawasiliano wa Serikali wakati wa Semina ya Mafunzo iliyoandaliwa na Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO) Leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Hiyo Prof. Elisante Ole Gabriel na Kulia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Bw. Innocent Mungy.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu...
10 years ago
BBCSwahili22 May
Wanawake kutotumia WhatsApp,Chechnya
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s72-c/001.DODOMA.jpg)
MADEREVA WAHIMIZWA KUTOTUMIA KILEVI WANAPOENDESHA MAGARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9bXbx8AotwM/Vnj309LRedI/AAAAAAAINzk/NuQs2-4ok2Q/s640/001.DODOMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOnUP-K-oYA/Vnj308eyqPI/AAAAAAAINzo/5Qi6ASs4HIU/s640/002.DODOMA.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Jan
Wajawazito washauriwa kutotumia dawa za uchungu za kienyeji
WAJAWAZITO wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameaswa kutojifungulia nyumbani.
10 years ago
GPLRAZA AWAONYA WAGOMBEA URAIS KUTOTUMIA RUSHWA