Walimu EAC sasa ruksa kufundisha nchi wanachama
Baraza la Mawaziri la Afrika Mashariki (EAC), limekamilisha mpango unaolenga kumaliza uhaba wa walimu kwa kuwaruhusu kufanya kazi katika nchi yoyote mwanachama wa Jumuiya hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV14 Jan
Dr. Senzibera ajivunia ushirikiano wa nchi wanachama EAC.
Na Ramadhani Mvungi,
Arusha.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dakta Richard Senzibera amesema katika kipindi cha mwaka 2014, nchi za Jumuiya hiyo zimeonekana kupiga hatua kubwa za ushirikiano tofauti na miaka ya nyuma.
Hata hivyo ametaja dosari zilizojitokeza zikiwemo mizozo baina ya nchi na nchi kuwa zinafanyiwa kazi ili ziweze kuondolewa kwa njia za kidiplomasia.
Katika Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika jijini Arusha, Dokta Senzibera akizungumza na wanahabari amesema katika...
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Sarafu moja itakavyoimarisha uchumi nchi wanachama EAC
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fbj_BLB7Kyw/U3i45flF3uI/AAAAAAAFjig/W5DEZ1mUY_g/s72-c/unnamed+(13).jpg)
WALIMU WAASWA KUTOTUMIA VIROBA WAKATI WA KUFUNDISHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fbj_BLB7Kyw/U3i45flF3uI/AAAAAAAFjig/W5DEZ1mUY_g/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_cHnwGFglTs/U3i45xrRChI/AAAAAAAFjik/ZaofG3gB-Wc/s1600/unnamed+(14).jpg)
Na John Gagarini, Kibaha
OFISA Elimu Mkoa wa Pwani Yusufu Kipengele amewataka walimu mkoani humo kuachana na tabia ya kutumia vilevi waingiapo madarasani kufundisha kwani hali hiyo inachangia kushuka kwa kiwango...
11 years ago
Habarileo21 Jul
Mbowe: Wanachama ‘mizigo’ Chadema ruksa kuondoka
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uongozi wake, utakilinda chama kwa gharama yoyote na kuwa milango iko wazi kwa watu wasio na nia ya dhati kuondoka.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-iO_IHWeO_Vg/VIdabmUrnGI/AAAAAAAG2Qw/yZxc0WlCpIU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-J_tAh0X--fw/VIdabrDJPlI/AAAAAAAG2Q0/lol9Gagkkco/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Jul
Kimondo: Mwashiuya sasa ruksa Yanga.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jonas-8July2015.jpg)
Mshambuliaji Geofrey Mwashiuya ambaye alikuwa akidaiwa kujiunga na Yanga kinyemela, sasa ni mchezaji halali wa kikosi hicho kinachonolewa na Mholanzi Has van der Pluijm baada ya klabu hiyo ya Mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam kumalizana kimya kimya na Kimondo FC.
Klabu ya Yanga na Kimondo FC zilikutana jana jijini Mbeya kwa ajili ya kutafuta muafaka na inaelezwa kuwa kikao hicho kilichukua zaidi ya saa sita kulimaliza sakata hilo.
Akizungumza...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Wambura sasa ruksa kuwania urais Simba
10 years ago
Habarileo07 Jun
Midahalo ya watangaza nia CCM sasa ruksa
WATANZANIA sasa watapata fursa pana zaidi ya kufahamu kwa undani wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, baada ya Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kuridhia midahalo kwa wanachama hao.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Ukawa ruksa kufanya mikutano nchi nzima