Sarafu moja itakavyoimarisha uchumi nchi wanachama EAC
Wafanyabiashara wamekuwa wakitoa shutuma nyingi za kuvurugwa kibiashara wanapokuwa wameenda kufanya biashara katika moja ya nchi ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-XxhH5g03vv8/VRrEKblJb6I/AAAAAAAHOls/g1T0e3kwuic/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AeIOCOaueNc/VRrEKiMEgOI/AAAAAAAHOlo/IqsGRxrpJ8o/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Sarafu moja kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika Mashariki
11 years ago
Habarileo09 Apr
Ukosefu wa sarafu moja EAC tatizo kiuchumi
IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa matumizi ya sarafu moja katika soko la pamoja la Afrika Mashariki kumeleta athari kubwa zitokanazo na matumizi makubwa ya fedha za kigeni katika nchi wanachama wa jumuia hizo.
10 years ago
StarTV14 Jan
Dr. Senzibera ajivunia ushirikiano wa nchi wanachama EAC.
Na Ramadhani Mvungi,
Arusha.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dakta Richard Senzibera amesema katika kipindi cha mwaka 2014, nchi za Jumuiya hiyo zimeonekana kupiga hatua kubwa za ushirikiano tofauti na miaka ya nyuma.
Hata hivyo ametaja dosari zilizojitokeza zikiwemo mizozo baina ya nchi na nchi kuwa zinafanyiwa kazi ili ziweze kuondolewa kwa njia za kidiplomasia.
Katika Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika jijini Arusha, Dokta Senzibera akizungumza na wanahabari amesema katika...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Walimu EAC sasa ruksa kufundisha nchi wanachama
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Mkutano wa kamati ya watalaam wa fedha, uchumi na mipango wa nchi wanachama AU na ECA waanza Addis Ababa — Ethiopia
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Hamis H. Mwinyimvua (Kulia) na Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Mh.Naimi Azizi wakiwaa kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Watalaamu wa masuala ya Fedha Afrika unaofanyika Mjini Addis Ababa – Ethiopia.
Baadhi ya wajumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 8 wa Watalaam wa masuala ya Fedha – Afrika wakijadili jambo wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa ‘United Conference Centre’ Addis Ababa. Kulia ni Nd.Mbayani Saruni na Kushoto ni...
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Tanzania yachaguliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya mawaziri wa fedha, uchumi na mipango ya nchi wanachama wa (AU) na kamisheni ya (ECA)
10 years ago
Mwananchi09 Feb
Magavana waweka mikakati ya sarafu moja
11 years ago
Mwananchi16 Jan
EAC inajifunza nini kwa sarafu ya EU?