Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wambura sasa ruksa kuwania urais Simba

Dar es Salaam. Kama ilivyotarajiwa, Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemrejesha Michael Wambura kugombea urais wa Simba baada ya vikao vya siku mbili kujadili rufaa yake dhidi ya kuenguliwa na Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo, uamuzi uliofanywa kwa kupiga kura na hivyo kumpitisha kwa kura 3-2.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAMBURA RUKSA KUGOMBEA URAIS SIMBA

Mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. RASMI Kamati ya rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemrejeha Mgombea wa Urais wa Simba SC, Michael Richard Wambura kwenye mbio za kuwania uongozi wa Wekundu wa Msimbazi. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Wakili Julius Lugaziya amewaambia Waandishi wa Habari mchana wa leo ofisi za TFF katikati ya Jiji la Dar es Salaam, kwamba Wambura amerejeshwa baada ya kikao chao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza ruksa kuwania urais

Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Hatima ya Wambura Simba sasa Agosti 3

Rais  wa Simba, Evans Aveva alisema jana kuwa wanachama waliofungua kesi mahakamani kupinga uchaguzi  uliofanyika Jumapili wamevunja katiba ya klabu hiyo ibara ya 28 inayokataza masuala ya klabu hiyo kupelekwa mahakamani.

 

11 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI SIMBA: Wambura: Sasa imetosha basi

>Siku moja baada ya kuenguliwa kwa mara ya sita kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Simba, Michael Wambura, amesema: “Imetosha, yatosha, sina cha kusema.”

 

11 years ago

Michuzi

RUFANI YA MICHAEL WAMBURA KUGOMBEA URAIS SIMBA SC

Uamuzi kuhusu rufani ya Michael Wambura kupinga kuenguliwa kugombea urais wa Rais utatangazwa kesho (Juni 11 mwaka huu) saa 6 kamili mchana na Mwenyekiti wa Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya TFF, Wakili Julius Lugaziya.

 

10 years ago

Habarileo

Sophia Simba athibitisha wanawake kuwania Urais

Sophia SimbaWAZIRI wa Mendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema wapo wanawake wengi wenye sifa ya kushika nafasi ya Urais na kwamba muda utakapowadia watajitangaza.

 

10 years ago

Vijimambo

Kimondo: Mwashiuya sasa ruksa Yanga.

Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha.
Mshambuliaji Geofrey Mwashiuya ambaye alikuwa akidaiwa kujiunga na Yanga kinyemela, sasa ni mchezaji halali wa kikosi hicho kinachonolewa na Mholanzi Has van der Pluijm baada ya klabu hiyo ya Mtaa wa Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam kumalizana kimya kimya na Kimondo FC.

Klabu ya Yanga na Kimondo FC zilikutana jana jijini Mbeya kwa ajili ya kutafuta muafaka na inaelezwa kuwa kikao hicho kilichukua zaidi ya saa sita kulimaliza sakata hilo.

Akizungumza...

 

10 years ago

Habarileo

Midahalo ya watangaza nia CCM sasa ruksa

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaWATANZANIA sasa watapata fursa pana zaidi ya kufahamu kwa undani wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho, baada ya Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kuridhia midahalo kwa wanachama hao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani