Pierre Nkurunziza ruksa kuwania urais
Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPIERRE NKURUNZIZA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA URAIS
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Wambura sasa ruksa kuwania urais Simba
10 years ago
BBCSwahili05 May
Korti yamruhusu Nkurunziza kuwania urais
10 years ago
StarTV06 May
Mahakama yaruhusu Nkurunziza kuwania urais
Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
Kulingana na vituo vya redio nchini humo,Jaji wa mahakama hiyo alitoa uamuzi huo mapema leo asubuhi .
Hapo Jana makamu wa mahakama hiyo Jaji Sylvere Nimpagaritse ,alilitoroka taifa hilo akidai kuwa walikuwa wakishinikizwa kutoa uamuzi utakaompendelea rais Nkurunziza.
Rwanda imethibitisha kuwa jaji huyo yuko mjini Kigali.
BBC
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
10 years ago
GPLPIERRE NKURUNZIZA AREJEA NYUMBANI
5 years ago
CCM Blog26 Jun
PIERRE NKURUNZIZA KUZIKWA LEO
10 years ago
BBCSwahili15 May
Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani