Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani
Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani hapo jana, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3iiVCO-kzIeGLsUSV*ZUn6Rp4unmXfIbLRadgfCbxXOt6xFCLxLDnaB-zaHJUIeC0nFo2sEpnlVfmQj21tgEHyhP/2204190102.jpg?width=640)
PIERRE NKURUNZIZA AREJEA NYUMBANI
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza akirejea nchini mwake baada kushindikana kwa jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali yake alipokuwa nchini Tanzania kuhudhuria kikao cha viongozi wa EAC. Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amejerea nyumbani hapo jana, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania kuhudhuria kikao cha viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki waliokuwa wakijadili mgogoro wa Burundi. Maafisa wa...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Rais Pierre Nkurunziza arejea nyumbani
Rais Pierre Nkurunziza amejerea nchini mwake, baada ya kuwepo kwa jaribio la kumpindua akiwa nchini Tanzania kwenye mkutano .
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.
5 years ago
CCM Blog26 Jun
PIERRE NKURUNZIZA KUZIKWA LEO
![Pierre Nkurunziza](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/D39D/production/_112837145_mediaitem112837144.jpg)
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Burundi: Pierre Nkurunziza kuzikwa leo
Hafla ya mazishi zinatarajiwa kuongozwa na rais mpya jenerali Evariste Ndayishimiye na wakuu wengine wa serikali.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Pierre Nkurunziza ruksa kuwania urais
Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
10 years ago
BBCSwahili14 May
Rais Pierre Nkurunziza yuko wapi?
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, inasemekana ameondoka nchini Tanzania saa moja baada ya kupatikana taarifa za kupinduliwa kwake
10 years ago
BBCSwahili07 May
Rais Pierre Nkurunziza hatagombea tena
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amewaambia mawaziri wa Afrika Mashariki kwamba baada ya muhula huu wa tatu hatagombea tena..
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Rais wa Burundi , Pierre Nkurunziza ni nani?
Nkurunziza ni kiongozi wa zamani wa waasi ambaye alijisifu kuwa ameleta amani katika utawala wake nchini Burundi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania