Mahakama yaruhusu Nkurunziza kuwania urais
Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
Kulingana na vituo vya redio nchini humo,Jaji wa mahakama hiyo alitoa uamuzi huo mapema leo asubuhi .
Hapo Jana makamu wa mahakama hiyo Jaji Sylvere Nimpagaritse ,alilitoroka taifa hilo akidai kuwa walikuwa wakishinikizwa kutoa uamuzi utakaompendelea rais Nkurunziza.
Rwanda imethibitisha kuwa jaji huyo yuko mjini Kigali.
BBC
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 May
Pierre Nkurunziza ruksa kuwania urais
10 years ago
BBCSwahili05 May
Korti yamruhusu Nkurunziza kuwania urais
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Mahakama yaruhusu ushoga Uganda
![Rais wa Uganda, Yoweri Museveni](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Yoweri-Museveni.jpg)
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni
KAMPALA, Uganda
MAHAKAMA ya Kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, ambayo ilisababisha mataifa kadhaa ya magharibi kuinyima misaada.
Sheria hiyo ilizua mjadala si tu nchini Uganda bali kote duniani, kiasi cha kuyafanya mataifa ya magharibi yalazimike kuingilia kati.
Mahakama ilisema muswada uliopitishwa kabla ya kuidhinishwa na rais kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi yao haikutosha kuupitisha na kwa hivyo...
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Mahakama yaruhusu Mkenya kufikishwa ICC
10 years ago
Michuzi08 Oct
Mahakama yaruhusu Mashindano ya Miss Tanzania kufanyika kama yalivyopangwa
Na Mwene Said,Globu ya Jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar es Salaam, jana iliamuru mashindano ya urembo Tanzania yaliyopangwa kufanyika Oktoba 11, mwaka huu kuendelea baada ya kutupilia mbali maombi ya dharura yaliyowasilishwa na Prashant Patel dhidi ya Hashimu Lundenga ya kuzuia kuendelea kuendesha kinyang'anyiro hicho kwa madai ya kukiuka mkataba wa makubaliano yao.
Kadhalika mahakama hiyo imesema maombi ya hati ya dharura yaliyowasilishwa na Patel hayana mashiko ya kisheria na...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Mahakama yakubali Nkurunziza agombee
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U0kXovJomVD6gVUfAmyXFeQVsj6mhpqBz7aofzdgguoL30pCFzGkbYdykR7OF19PiG6Iw3XcXO8*bNescXQLIMIhyLgMtni8/burundipresidentpierrenkurunziza.jpg?width=650)
PIERRE NKURUNZIZA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA URAIS