Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yaruhusu Mkenya kufikishwa ICC

Mahakama imebatilisha uamuzi wa kuzuiya serikali ya Kenya kuwakilisha raiya mmoja ICC

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Njia ya kufikishwa ICC ni fupi

MABADILIKO hayaepukiki.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa LRA kufikishwa ICC

Kamanda wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda ambaye alikamatwa katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Dominic Ongwen atakabidhiwa kwa mahakama ya kimataifa ya ICC, yasema serikali ya Uganda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini kufikishwa ICC?

Baraza la umoja wa mataifa la haki za binadamu limesema Korea Kaskazini inastahili kufikishwa icc.

 

11 years ago

Mtanzania

Mahakama yaruhusu ushoga Uganda

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni

KAMPALA, Uganda

MAHAKAMA ya Kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, ambayo ilisababisha mataifa kadhaa ya magharibi kuinyima misaada.

Sheria hiyo ilizua mjadala si tu nchini Uganda bali kote duniani, kiasi cha kuyafanya mataifa ya magharibi yalazimike kuingilia kati.

Mahakama ilisema muswada uliopitishwa kabla ya kuidhinishwa na rais kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi yao haikutosha kuupitisha na kwa hivyo...

 

10 years ago

StarTV

Mahakama yaruhusu Nkurunziza kuwania urais

Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.

Kulingana na vituo vya redio nchini humo,Jaji wa mahakama hiyo alitoa uamuzi huo mapema leo asubuhi .

Hapo Jana makamu wa mahakama hiyo Jaji Sylvere Nimpagaritse ,alilitoroka taifa hilo akidai kuwa walikuwa wakishinikizwa kutoa uamuzi utakaompendelea rais Nkurunziza.

Rwanda imethibitisha kuwa jaji huyo yuko mjini Kigali.

BBC

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama yaruhusu Mashindano ya Miss Tanzania kufanyika kama yalivyopangwa



Na Mwene Said,Globu ya Jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar es Salaam, jana iliamuru mashindano ya urembo Tanzania yaliyopangwa kufanyika Oktoba 11, mwaka huu kuendelea baada ya kutupilia mbali maombi ya dharura yaliyowasilishwa na Prashant Patel dhidi ya Hashimu Lundenga ya kuzuia kuendelea kuendesha kinyang'anyiro hicho kwa madai ya kukiuka mkataba wa makubaliano yao.
Kadhalika mahakama hiyo imesema maombi ya hati ya dharura yaliyowasilishwa na Patel hayana mashiko ya kisheria na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya achaguliwa makamu wa rais wa ICC

Majaji wa mahakama ya kimataifa ICC wamemchagua jaji wa Kenya Joyce Aluoch kama makamu wa rais wa mahakama hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama ya ICC inamfaidi nani?

Rais Kenyatta ni Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika mbele ya mahakama hiyo. Hata hivyo, mahakama hii ilinudw akumsaidia nani hasa?

 

10 years ago

BBCSwahili

Palestina kujiunga na mahakama ya ICC.

kundi la wapiganaji la Hamas limetia sahihi ahadi ya kuunga mkono ombi lolote la Palestina kujiunga na ICC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani