Mahakama yaruhusu Mkenya kufikishwa ICC
Mahakama imebatilisha uamuzi wa kuzuiya serikali ya Kenya kuwakilisha raiya mmoja ICC
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Kamanda wa LRA kufikishwa ICC
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Korea Kaskazini kufikishwa ICC?
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Mahakama yaruhusu ushoga Uganda
![Rais wa Uganda, Yoweri Museveni](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Yoweri-Museveni.jpg)
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni
KAMPALA, Uganda
MAHAKAMA ya Kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, ambayo ilisababisha mataifa kadhaa ya magharibi kuinyima misaada.
Sheria hiyo ilizua mjadala si tu nchini Uganda bali kote duniani, kiasi cha kuyafanya mataifa ya magharibi yalazimike kuingilia kati.
Mahakama ilisema muswada uliopitishwa kabla ya kuidhinishwa na rais kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi yao haikutosha kuupitisha na kwa hivyo...
10 years ago
StarTV06 May
Mahakama yaruhusu Nkurunziza kuwania urais
Mahakama ya kikatiba nchini Burundi imemruhusu rais Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu.
Kulingana na vituo vya redio nchini humo,Jaji wa mahakama hiyo alitoa uamuzi huo mapema leo asubuhi .
Hapo Jana makamu wa mahakama hiyo Jaji Sylvere Nimpagaritse ,alilitoroka taifa hilo akidai kuwa walikuwa wakishinikizwa kutoa uamuzi utakaompendelea rais Nkurunziza.
Rwanda imethibitisha kuwa jaji huyo yuko mjini Kigali.
BBC
10 years ago
Michuzi08 Oct
Mahakama yaruhusu Mashindano ya Miss Tanzania kufanyika kama yalivyopangwa
Na Mwene Said,Globu ya Jamii
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu,jijini Dar es Salaam, jana iliamuru mashindano ya urembo Tanzania yaliyopangwa kufanyika Oktoba 11, mwaka huu kuendelea baada ya kutupilia mbali maombi ya dharura yaliyowasilishwa na Prashant Patel dhidi ya Hashimu Lundenga ya kuzuia kuendelea kuendesha kinyang'anyiro hicho kwa madai ya kukiuka mkataba wa makubaliano yao.
Kadhalika mahakama hiyo imesema maombi ya hati ya dharura yaliyowasilishwa na Patel hayana mashiko ya kisheria na...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mkenya achaguliwa makamu wa rais wa ICC
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mahakama ya ICC inamfaidi nani?
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
Palestina kujiunga na mahakama ya ICC.