Palestina kujiunga na mahakama ya ICC.
kundi la wapiganaji la Hamas limetia sahihi ahadi ya kuunga mkono ombi lolote la Palestina kujiunga na ICC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Palestina yapewa uanachama wa ICC
Wapalestina wamepata uanachama wa mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita miezi mitatu baada ya ombi lao kukubaliwa.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Palestina kuwa mwanachama wa ICC
Umoja wa mataifa umedhibitisha kuwa Palestina itakuwa mwanachama wa mahakama ya kimataifa ya ICC kuanzia tarehe mosi mwezi Aprili
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
USA:Palestina haifai kuwa mwanachama ICC
Marekani imesema kuwa imetamaushwa na hatua ya viongozi wa Palestina ya kutaka kujiunga na mahakama ya ICC
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Pongezi JK kuikubali Mahakama ya ICC
Katika hali isiyotarajiwa mwishoni mwa wiki, Rais Jakaya Kikwete alitoa kauli ya kuiunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), iliyoko The Hague, nchini Uholanzi na kuwatahadharisha viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU), kwamba kuendelea kuonyesha chuki na kuishambulia mahakama hiyo kutatoa picha mbele ya jumuiya ya kimataifa kwamba viongozi wa Afrika wanataka kuongoza nchi zao bila kuwajibika wala kufuata utawala wa sheria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TzObvhxOuafiDk20miNYSyW6QqQHX4JDWDeCiCm*nxo80iwUj8dxb0fEy6NpI-BcX6fQGrHGsygLmkm69*XTwpUWwt7G2BzY/017399190_30300.jpg?width=650)
MAHAKAMA YA ICC YAIONYA KENYA
Rais wa Kenya, Rais Kenyatta. Mahakama ya kimataifa ya ICC, imeonya serikali ya Kenya dhidi ya kufichua taarifa kuhusu kesi inayomkabili Rais Uhuru Kenyatta kwa vyombo vya habari nchini humo. Rais Kenyatta amekuwa Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika katika mahakama ya ICC kusikiliza kesi inayomkabili mapema mwezi huu. Rais wa Kenya, Rais Kenyatta (kulia) akiwa na wakili wake katika… ...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mahakama ya ICC inamfaidi nani?
Rais Kenyatta ni Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika mbele ya mahakama hiyo. Hata hivyo, mahakama hii ilinudw akumsaidia nani hasa?
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Ongwen afikishwa katika mahakama ya ICC
Dominic Ongwen, amekuwa mwanachama wa kwanza wa kundi la LRA, kufika mbele ya mahakama ya kimataifa ya ICC.
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Mahakama yaruhusu Mkenya kufikishwa ICC
Mahakama imebatilisha uamuzi wa kuzuiya serikali ya Kenya kuwakilisha raiya mmoja ICC
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Omar al Bashir kupelekwa mahakama ya ICC
Baraza la mpito limekubali kumkabidhi rais wa zamani Omar al Bashir kwa mahakama ya kimataifa ya ICC.
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10