MAHAKAMA YA ICC YAIONYA KENYA
![](http://api.ning.com:80/files/TzObvhxOuafiDk20miNYSyW6QqQHX4JDWDeCiCm*nxo80iwUj8dxb0fEy6NpI-BcX6fQGrHGsygLmkm69*XTwpUWwt7G2BzY/017399190_30300.jpg?width=650)
Rais wa Kenya, Rais Kenyatta. Mahakama ya kimataifa ya ICC, imeonya serikali ya Kenya dhidi ya kufichua taarifa kuhusu kesi inayomkabili Rais Uhuru Kenyatta kwa vyombo vya habari nchini humo. Rais Kenyatta amekuwa Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika katika mahakama ya ICC kusikiliza kesi inayomkabili mapema mwezi huu. Rais wa Kenya, Rais Kenyatta (kulia) akiwa na wakili wake katika… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Oct
RAIS UHURU KENYATTA AWASILI NCHINI KENYA AKITOKEA MAHAKAMA YA ICC
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqINso9IOrPmLlqVl0yIlTAk1yewZeokjyeGN47s4jUoTMMTwkXOg3Q9*jmtoSWgEdUgZD46DdZH9DnYf9D8WGi5/uhuru.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqLc5vEf6GlX8XYTzO*LPeYakLjdpfAD9czsLoLUL8z93eGkwf4R9wOeX7ybfdMu9BrSm2W3WkDIFQYK9U9SkeqC/uhuru2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqIrSwh*5yfiwnpyQ7SNqGpvaW30MtWkwZ0GizbU1QbUBF71l0pTEOlLm6-pRClrG*lBq0VKPc-gWWpCfMk9blqi/uhuru3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqI3tmxlDyhQb9HQGuFFzu78XBt6w02Exg*tSz9Iz0KVvAUG9yesvaIuOmVf9kwPACxnMVOTSwLpS11tCoAsqyzb/uhuru4.jpg?width=650)
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya
Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Pongezi JK kuikubali Mahakama ya ICC
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mahakama ya ICC inamfaidi nani?
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
Palestina kujiunga na mahakama ya ICC.
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Ongwen afikishwa katika mahakama ya ICC
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Mahakama yaruhusu Mkenya kufikishwa ICC
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Omar al Bashir kupelekwa mahakama ya ICC
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Kenyatta aipuzilia mbali mahakama ya ICC