Ongwen afikishwa katika mahakama ya ICC
Dominic Ongwen, amekuwa mwanachama wa kwanza wa kundi la LRA, kufika mbele ya mahakama ya kimataifa ya ICC.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Jan
uasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/17/150117031256_car_ongwen_lra_icc_624x351_reuters.jpg)
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.
Ongwen, alikuwa kamanda mwenye kuogopewa sana katika kundi la waasi la LRA na alikamatwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema mwezi huu.
Uganda ilikubali kwamba muasi huyo apelekwe katika mahakama ya kimataifa ya ICC, licha ya nchi hio kuwa mkosoaji...
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Muasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.
10 years ago
TheCitizen19 Jan
Dominic Ongwen off to ICC for trial
>The indicted senior Lord’s Resistance Army (LRA) commander, Maj Gen Dominic Ongwen, who surrendered early this month, was yesterday handed over to the International Criminal Court (ICC) for trial on war crimes and crimes against humanity.
10 years ago
TheCitizen08 Feb
We shall not cater for Ongwen’s children: ICC
The International Criminal Court (ICC) Field Outreach Coordinator for Kenya and Uganda, Ms Maria Mabinty Kamara, has rejected calls by relatives of indicted LRA commander Dominic Ongwen to cater for his children.
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Dominic Ongwen wa LRA akabidhiwa kwa ICC
Afisa muandamizi wa LRA aliyejisalimisha Jamhuri ya Afrika ya Kati akabidhiwa kwa Mahakama ya JInai ya KImataifa
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je, ni nani nchini Sudan atakayefanya uamuzi wa kumwasilisha Omar el Bashir katika mahakama ya ICC?
Bashir na wengine wanatuhumiwa na makossa mabaya ya uhalifu katika mzozo wa jimbo la magharibi la Darfur ambao ulianza 2003.
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Mali; Afikishwa ICC kwa kuharibu makavazi
Anayetuhumiwa kuharibu makavazi ya kihistoria nchini Mali, anatarajiwa kufikishwa mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ya ICC
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
10 years ago
VijimamboASKOFU GWAJIMA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-puGFmGKl0rU/VTE1aFCIl_I/AAAAAAABXSQ/PmMycj947Nw/s1600/Gwajima%2Bna%2BBehagaza.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania