Muasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Jan
uasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/17/150117031256_car_ongwen_lra_icc_624x351_reuters.jpg)
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.
Ongwen, alikuwa kamanda mwenye kuogopewa sana katika kundi la waasi la LRA na alikamatwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema mwezi huu.
Uganda ilikubali kwamba muasi huyo apelekwe katika mahakama ya kimataifa ya ICC, licha ya nchi hio kuwa mkosoaji...
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Muasi Dominic Ongwen ajisalimisha
Dominic Ongwen, mmoja kati ya makamanda aliyekuwa na cheo kikubwa katika jeshi la waasi wa Uganda LRA amejisalimisha
10 years ago
TheCitizen19 Jan
Dominic Ongwen off to ICC for trial
>The indicted senior Lord’s Resistance Army (LRA) commander, Maj Gen Dominic Ongwen, who surrendered early this month, was yesterday handed over to the International Criminal Court (ICC) for trial on war crimes and crimes against humanity.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80114000/jpg/_80114647_44979734.jpg)
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Dominic Ongwen wa LRA akabidhiwa kwa ICC
Afisa muandamizi wa LRA aliyejisalimisha Jamhuri ya Afrika ya Kati akabidhiwa kwa Mahakama ya JInai ya KImataifa
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Ongwen afikishwa katika mahakama ya ICC
Dominic Ongwen, amekuwa mwanachama wa kwanza wa kundi la LRA, kufika mbele ya mahakama ya kimataifa ya ICC.
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
JK afikishwa The Hague
KITUO cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB) kimemshitaki Rais Jakaya Kikwete kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), mjini The Hague, Uholanzi kwa madai ya kutoa kauli zenye...
10 years ago
BBCSwahili19 May
Tanzania yamshikilia muasi wa ADF
Polisi nchini Tanzania wamethibitisha kuendelea kumshikilia Jamil Mukulu ambaye ni kiongozi wa waasi wa ADF wa Uganda.
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Kamanda mwanamke muasi akamatwa
Mashirika ya kutetea haki za binadamu yameisifu hatua ya kukamatwa kwa kamanda mwanamke aliyekuwa mmoja wa waasi wa Charles Taylor.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania