JK afikishwa The Hague
KITUO cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB) kimemshitaki Rais Jakaya Kikwete kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), mjini The Hague, Uholanzi kwa madai ya kutoa kauli zenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Muasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.
10 years ago
Vijimambo21 Jan
uasi Dominic Ongwen afikishwa Hague
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/17/150117031256_car_ongwen_lra_icc_624x351_reuters.jpg)
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda Dominic Ongwen amewasili mjini Hague ambako atafunguliwa mashitaka ya uhalifu wa kivita.
Ongwen, alikuwa kamanda mwenye kuogopewa sana katika kundi la waasi la LRA na alikamatwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mapema mwezi huu.
Uganda ilikubali kwamba muasi huyo apelekwe katika mahakama ya kimataifa ya ICC, licha ya nchi hio kuwa mkosoaji...
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Ntaganda kizimbani the Hague
Kiongozi wa waasi nchini DRC Bosco Ntaganda leo atafikishwa mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu huko the Hague
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vG01xDoC0qM/XkuZOy8YZwI/AAAAAAACy44/lAAAvZiKvagoT4pDOvkri5ajG5dUG68hACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWANAJESHI AFIKISHWA KORTINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vG01xDoC0qM/XkuZOy8YZwI/AAAAAAACy44/lAAAvZiKvagoT4pDOvkri5ajG5dUG68hACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mtuhumiwa huyo alifikishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa huo, Maria Batulaine, na kusomewa shtaka linalomkabili.
Mwanasheria wa Serikali, Abdulrahman Mohamed, alidai kuwa askari hao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi na kwamba wivu ndio unaodaiwa kusababisha mauaji hayo.
Mwanasheria huyo wa serikali...
10 years ago
TheCitizen13 May
Nkurunziza on The Hague route
The warning given by the Office of the Prosecutor of the International Criminal Court (ICC) Ms Fatou Bensouda on the pre-election violence in Burundi should be taken seriously by the leadership in Bujumbura and particularly Pierre Nkurunziza, the President of Burundi.
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMANI
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Profesa Lipumba afikishwa mahakamani
Mwenyekiti wa chama cha CUF nchini Tanzania Ibrahim Lipumba amefikishwa mahakamani kwa kuandamana kinyume cha sheria
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78075000/jpg/_78075833_78074332.jpg)
Kenyatta in Hague for ICC hearing
Kenyan President Uhuru Kenyatta arrives in The Hague to appear at the International Criminal Court on charges of crimes against humanity.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pInKxclxfH1p8ON44P-NPu5XHDubvK3RwhJwkEExuxWUGYRPMgEjePpcV9rN-GTBiJKoNfIpdvC3azTMcsJxtOt/lwakatale.gif?width=650)
MAMA RWAKATARE AFIKISHWA POLISI
Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare (pichani) amefunguliwa mashitaka katika Kituo cha Polisi Wazo Hill kwa uharibifu wa mali inayodaiwa ina thamani ya shilingi milioni 20. Bw. Grayson Justine anayelalamika kuvunjiwa nyumba yake na Mch. Getrude Rwakatare. Taarifa zilizopatikana katika kituo hicho zenye Jalada la Kumbukumbu WH/RB/9029/2014 UHARIBIFU WA...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania