Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenyatta in Hague for ICC hearing

Kenyan President Uhuru Kenyatta arrives in The Hague to appear at the International Criminal Court on charges of crimes against humanity.

BBC

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Kenyatta ‘can request’ to attend hearing via video link, says ICC

Kenya’s President Uhuru Kenyatta can request to attend the International Criminal Court (ICC) status conference scheduled for October 8 via video link if he so wishes.

 

11 years ago

StarTV

Kenyatta ashurutishwa kwenda Hague.

Majaji wa mahakama ya jinai ya ICC wameamua kuwa rais wa Kenya hana budi ila kufika mahakamani binafasi Oktoba tarehe 8.

 

 
Majaji hao wamekatalia mbali ombi la mawakali wa rais Uhuru Kenyatta la kutaka aruhusiwe kuhudhuria kikao hicho kupitia kwa njia ya Video ama kikao hicho cha ana kwa ana kiahirishwe hadi siku nyingine kwani alikuwa amekabwa na kazi na majukumu kama rais wa Kenya.

 

 
Majaji hao wanasema kuwa Rais Uhuru Kenyatta hakutoa sababu madhubuti ya kukosa kuhudhuria kikao hicho...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenyatta ashurutishwa kwenda Hague

Majaji wa mahakama ya jinai ya ICC wamemuamuru rais wa Kenya kufika mahakamani tarehe 8 oktoba.

 

11 years ago

BBC

Hague delays Kenyatta trial start

The International Criminal Court postpones the February start of Kenyan President Uhuru Kenyatta's trial following prosecutor's call for three-month delay.

 

11 years ago

KwanzaJamii

KENYATTA ASHURUTISHWA KWENDA MAHAKAMANI THE HAGUE

Majaji wa mahakama ya jinai ya ICC wameamua kuwa rais wa Kenya hana budi ila kufika mahakamani binafsi Oktoba tarehe 8. Majaji hao wamekatalia mbali ombi la mawakali wa rais Uhuru Kenyatta la kutaka aruhusiwe kuhudhuria kikao hicho kupitia kwa njia ya Video ama kikao hicho cha ana kwa ana kiahirishwe hadi siku nyingine kwani alikuwa amekabwa na kazi na majukumu kama rais wa Kenya. Majaji hao wanasema kuwa Rais Uhuru Kenyatta hakutoa sababu madhubuti ya kukosa kuhudhuria kikao hicho...

 

11 years ago

BBC

ICC summons Kenya leader to hearing

The International Criminal Court orders Kenyan President Uhuru Kenyatta to appear on 8 October, over claims his government obstructed prosecutors.

 

11 years ago

Dewji Blog

Picha za mapokezi ya Rais Uhuru Kenyatta alipowasili kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita The Hague

1619311_927273563967864_7566706705908247266_n

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akisalimiana na baadhi ya raia wa Kenya wanaoishi nchini Uholanzi kabla ya kuingia kwenye mahakama hiyo. (Picha kwa hisani ya ukurasa wa facebook ya Rais Uhuru Kenyatta).

Na Mwandishi wetu

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili mjini Hague nchini Uholanzi, kuhudhuria kikao kuhusu kesi inayomkabili ya kukochechea na kufadhili machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.

Kikao hicho kitafanyika Jumatano wiki hii, na kinakuja baada ya upande wa mashtaka...

 

10 years ago

TheCitizen

ICC drops plan to hold Kony partner’s hearing in Uganda

The International Criminal Court on Wednesday axed plans to hold a hearing in Uganda to confirm charges against a notorious Lord’s Resistance Army (LRA) commander, fearing political tensions ahead of upcoming elections. Dominic Ongwen is the first commander of the brutal LRA rebel group -- led by the fugitive Joseph Kony -- to appear before the ICC, where he faces charges for war crimes and crimes against humanity.

 

11 years ago

GPL

RAIS KENYATTA NDANI YA ICC

Rais Kenyatta wakati akiwasili katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huko The Hague. RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, leo yupo mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huko The Hague, ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu. Rais Kenyatta wakati akielekea The Hague jana. Rais…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani