KENYATTA ASHURUTISHWA KWENDA MAHAKAMANI THE HAGUE
Majaji wa mahakama ya jinai ya ICC wameamua kuwa rais wa Kenya hana budi ila kufika mahakamani binafsi Oktoba tarehe 8. Majaji hao wamekatalia mbali ombi la mawakali wa rais Uhuru Kenyatta la kutaka aruhusiwe kuhudhuria kikao hicho kupitia kwa njia ya Video ama kikao hicho cha ana kwa ana kiahirishwe hadi siku nyingine kwani alikuwa amekabwa na kazi na majukumu kama rais wa Kenya. Majaji hao wanasema kuwa Rais Uhuru Kenyatta hakutoa sababu madhubuti ya kukosa kuhudhuria kikao hicho...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV01 Oct
Kenyatta ashurutishwa kwenda Hague.
Majaji wa mahakama ya jinai ya ICC wameamua kuwa rais wa Kenya hana budi ila kufika mahakamani binafasi Oktoba tarehe 8.
Majaji hao wamekatalia mbali ombi la mawakali wa rais Uhuru Kenyatta la kutaka aruhusiwe kuhudhuria kikao hicho kupitia kwa njia ya Video ama kikao hicho cha ana kwa ana kiahirishwe hadi siku nyingine kwani alikuwa amekabwa na kazi na majukumu kama rais wa Kenya.
Majaji hao wanasema kuwa Rais Uhuru Kenyatta hakutoa sababu madhubuti ya kukosa kuhudhuria kikao hicho...
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Kenyatta ashurutishwa kwenda Hague
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78075000/jpg/_78075833_78074332.jpg)
Kenyatta in Hague for ICC hearing
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72481000/jpg/_72481527_71860383.jpg)
Hague delays Kenyatta trial start
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Picha za mapokezi ya Rais Uhuru Kenyatta alipowasili kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita The Hague
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akisalimiana na baadhi ya raia wa Kenya wanaoishi nchini Uholanzi kabla ya kuingia kwenye mahakama hiyo. (Picha kwa hisani ya ukurasa wa facebook ya Rais Uhuru Kenyatta).
Na Mwandishi wetu
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili mjini Hague nchini Uholanzi, kuhudhuria kikao kuhusu kesi inayomkabili ya kukochechea na kufadhili machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.
Kikao hicho kitafanyika Jumatano wiki hii, na kinakuja baada ya upande wa mashtaka...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Sep
Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa?
Tokea atangeze kujiondoa ccm na kujiunga chama cha democrasia na maendeleo( Chadema)Mh Edward Luwassa ,imekua kasakamwa na wanafiki wa chama tawala na kulikuza swala la richmon mama vile yeye ni mtuhumiwa pekee ndani ya ccm alokua […]
The post Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Rais Kenyatta tayari kwenda ICC
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Kenyatta asita kwenda kikao ICC
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Habre alazimishwa kwenda mahakamani