Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa?

Tokea atangeze kujiondoa ccm na kujiunga chama cha democrasia na maendeleo( Chadema)Mh Edward Luwassa ,imekua kasakamwa na wanafiki wa chama tawala na kulikuza swala la richmon mama vile yeye ni mtuhumiwa pekee ndani ya ccm alokua […]

The post Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa?

The post Jee ccm ina mafisadi wangapi tukiwacha huyo wanai mshuku Mh Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanajeshi mahakamani kwa mauaji ya raia Mbeya

Wanajeshi wanne wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wa Kikosi cha 44KJ, Mbalizi mkoani hapa wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya Petro Sanga, mkazi wa Mbalizi, juzi walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya Mbeya Mjini na kusomewa maelezo ya mashahidi 13 pamoja na vielelezo sita dhidi yao.

 

10 years ago

KwanzaJamii

KENYATTA ASHURUTISHWA KWENDA MAHAKAMANI THE HAGUE

Majaji wa mahakama ya jinai ya ICC wameamua kuwa rais wa Kenya hana budi ila kufika mahakamani binafsi Oktoba tarehe 8. Majaji hao wamekatalia mbali ombi la mawakali wa rais Uhuru Kenyatta la kutaka aruhusiwe kuhudhuria kikao hicho kupitia kwa njia ya Video ama kikao hicho cha ana kwa ana kiahirishwe hadi siku nyingine kwani alikuwa amekabwa na kazi na majukumu kama rais wa Kenya. Majaji hao wanasema kuwa Rais Uhuru Kenyatta hakutoa sababu madhubuti ya kukosa kuhudhuria kikao hicho...

 

10 years ago

Mwananchi

Pistorius apatikana na hatia ya mauaji

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Askari amtetea mtuhumiwa mahakamani

KESI ya kughushi inayomkabili mfanyabiashara, Hans Macha imechukua sura mpya baada ya askari polisi E.2982 Johanes Mgendi kutoa ushahidi upande wa mtuhumiwa kwenye kesi hiyo. Mgendi ambaye ni mtaalamu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Uhamiaji Kigoma wahofu kupatikana viongozi wasio raia

IDARA ya Uhamiaji mkoani Kigoma imeeleza wasiwasi wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na madai ya kuwepo viongozi wanaohifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtuhumiwa azua kihoja mahakamani Rwanda

Mushukiwa wa mauaji ya kimbari amekataa kesi yake kusikilizwa akisema kwamba hana haki zilizo sawa na mwendesha mashitaka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtuhumiwa Masasi atishia kujipaka kinyesi mahakamani

MMOJA wa mahabusu wanaokabiliwa na kesi za maandamano yasiyo na kibali, uporaji, kuchoma nyumba na kuharibu mali yaliyofanyika Januari 26, 2013 mjini Masasi, Araibu Mohamed, ametishia kutorejea mahabusu endapo kesi...

 

9 years ago

Bongo5

Meek Mill kurudi tena jela, apatikana na hatia za kukiuka masharti ya probation

meek-pray

Mambo si mazuri kwa Meek Mill.

meek-pray

Rapper huyo wa Philadelphia, Alhamis hii alipanda kizimbani na kujitetea mbele za jaji kuwa amebadilika.

Wakati wa utetezi wake, Meek alimuingiza pia mpenzi wake Nicki Minaj: I’m not a gangsta. I’m not a criminal,” alisema. I have my queen, Nicki now. I’m trying to do better and feel like I can be the best rapper alive.”

Hata hivyo jaji hakushawishisha na utetezi wake na alimkuta na hatia ya kukiuka masharti ya probation na kuitaja Feb 5 kama siku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani