Wanajeshi mahakamani kwa mauaji ya raia Mbeya
Wanajeshi wanne wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wa Kikosi cha 44KJ, Mbalizi mkoani hapa wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya Petro Sanga, mkazi wa Mbalizi, juzi walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya Mbeya Mjini na kusomewa maelezo ya mashahidi 13 pamoja na vielelezo sita dhidi yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Sep
Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa?
Tokea atangeze kujiondoa ccm na kujiunga chama cha democrasia na maendeleo( Chadema)Mh Edward Luwassa ,imekua kasakamwa na wanafiki wa chama tawala na kulikuza swala la richmon mama vile yeye ni mtuhumiwa pekee ndani ya ccm alokua […]
The post Jee ni yupi wakupelekwa mahakamani tena (The hague) Mkapa alofanya mauaji ya raia wasio na hatia au Mtuhumiwa Luwassa? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo04 Jan
Walinzi mahakamani kwa mauaji ya mchimbaji mdogo
WALINZI watatu wa Kampuni ya TanzaniteOne wamefikishwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Manyara, wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya mchimbaji mdogo wa madini ya tanzanite wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Kortini kwa mauaji ya polisi na raia Stakishari
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Wanajeshi waliowaua raia harusini mashakani
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gJOZn-7ANt0/XqLggrT7BCI/AAAAAAALoEA/fOQAWsKC8Q4l4UZ3x86-2jHCpBDFaP2kACLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
POLISI MBEYA YAMSAKA MWAKIFUNA KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gJOZn-7ANt0/XqLggrT7BCI/AAAAAAALoEA/fOQAWsKC8Q4l4UZ3x86-2jHCpBDFaP2kACLcBGAsYHQ/s320/New%2BPicture.png)
Tukio hili lilitokea tarehe 23/04/2020 saa 05:00 Wilaya ya Rungwe. Marehemu ambaye ni bibi mzaa baba wa mtuhumiwa walilala nyumba moja. Huku mtuhumiwa akiwa sebuleni na marehemu amelala chumbani.
Usiku muda usiojulikana HAKIMU JAMES MWAKIFUNA alichukua kitu chenye...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oOHmo8VfZss/XpH8Ca8h3tI/AAAAAAABnHw/hTo_aGa6umo5HbMFztUpz0WmTH7EGj2CACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
RAIA WA CHINA KUFIKISHWA MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oOHmo8VfZss/XpH8Ca8h3tI/AAAAAAABnHw/hTo_aGa6umo5HbMFztUpz0WmTH7EGj2CACLcBGAsYHQ/s640/images.jpg)
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 11,2020 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Benjamini Kuzaga amesema mtuhumiwa amekiuka utaratibu huo Aprili 5, 2020 katika kizuizi cha Ntibili Majimoto.
"Mtuhumiwa alikuwa anaendesha gari lenye namba za...
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Tunisia yaomboleza mauaji ya wanajeshi
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Syria yasema mauaji ya wanajeshi ni uchokozi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oU_EdyLSXU8/VnMRrop7uiI/AAAAAAAINKM/oIz9IctoBds/s72-c/51bd7d1d-3b49-4631-8d4c-6ba5a0fd3c87.jpg)
Raia wanne wa China wahukumiwa kutumikia miaka 20 jela kila mmoja kwa Uhujumu uchumi mkoani Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-oU_EdyLSXU8/VnMRrop7uiI/AAAAAAAINKM/oIz9IctoBds/s640/51bd7d1d-3b49-4631-8d4c-6ba5a0fd3c87.jpg)
Washatkiwa wanne wa China wakipanda karandinga baada ya kuhukumiwa kutumikia jela miaka 20 kila mmoja na kutakiwa kulipa faini ya Zaidi ya shilingi bilioni 10 baada ya kukutwa na makosa matatu ya kuhujumu uchumi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XuLg6CxUePA/VnMRuTlLcqI/AAAAAAAINKk/fFIfOSEFppY/s640/ndovu.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A7iUsl_b1e8/VnMSFW5pJzI/AAAAAAAINKs/AD5xUX0K2bM/s640/ddc07c45-ec55-4001-937e-6015ed59afe3.jpg)