Walinzi mahakamani kwa mauaji ya mchimbaji mdogo
WALINZI watatu wa Kampuni ya TanzaniteOne wamefikishwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Manyara, wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya mchimbaji mdogo wa madini ya tanzanite wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi24 Jun
Serikali yamlipa mchimbaji mdogo zaidi ya Bilioni 7.74 kwa madini yake ya Tanzanite
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b40f7044-3177-4651-8a94-d81001b23f08.jpg)
Mchimbaji mdogo wa madini, Saniniu Kurian Laizer, akimkabidhi waziri wa madini Dotto Biteko mawe ya Tanzanite yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 7.74 katika hafla fupi iliyofanyika Mirerani.Pichani kati ni Naibu Waziri wa Madini Mhe.Stansalus Nyongo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/dd7daf87-392d-4223-963a-060b1369559c.jpg)
Katibu Mkuu wizara ya Madini Prof Simon Msanjila akizungumza wakati wa hafla ya kupokea madini kutoka kwa mchimbaji mdogo wa Mirerani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/ee85e80e-013a-4a7b-af47-a549941a3689.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mughwira (wa Pili Kushoto), Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania...
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani
Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Walinzi Kampuni ya Tanzanite One kortini kwa mauaji
11 years ago
Michuzi03 Jun
5 years ago
Michuzi24 Jun
MCHIMBAJI MDOGO WA MADINI YA TANZANITE KUTAMBULIWA RASMI KUWA BILIONEA BAADA YA KUPATA MAWE MAWILI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 7.8
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/WhatsApp-Image-2020-06-24-at-10.41.08.jpeg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PHOTO-2020-06-24-09-40-50.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo Wizara inamtabua Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Bw. Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 7.8. Katibu Mkuu amesema kuwa mchimbaji...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Wanajeshi mahakamani kwa mauaji ya raia Mbeya
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Mchimbaji afariki kwa kulipuliwa na baruti
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Polisi sita watuhumiwa mauaji wafikishwa mahakamani
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ASKARI sita waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kuhusishwa na mauaji ya wafanyabiashara, jana wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia.
Washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Thomas Simba.
Mbele ya Hakimu Simba, Wakili wa Serikali Mkuu, Mutalemwa Kisheni, aliwataja washtakiwa kuwa ni Inspekta Bon Mbange mkazi wa Magomeni, F 919 Sajenti Filbert Nemes na Askari wa Kikosi cha Kuzuia...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mahakamani