Walinzi Kampuni ya Tanzanite One kortini kwa mauaji
Walinzi watatu wa Kampuni ya Tanzanite One wamefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Manyara kwa tuhuma za mauaji ya mchimbaji mdogo wa madini ya tanzanite wa Mirerani, Samwel Lucas (36).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Jan
Walinzi mahakamani kwa mauaji ya mchimbaji mdogo
WALINZI watatu wa Kampuni ya TanzaniteOne wamefikishwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Manyara, wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya mchimbaji mdogo wa madini ya tanzanite wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Walinzi watatu Shirika la Reli watinga kortini
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Kortini kwa mauaji ya Polisi Tabora
WATU saba wamefikishwa katika Mahakama Mkoa wa Tabora wakikabiliwa na tuhuma za mauaji ya askari polisi wawili wa Kituo cha Polisi Ussoko, Wilaya ya Urambo. Waliofikishwa mahakamani hapo jana ni...
11 years ago
BBCSwahili21 Aug
Watu 5 kortini kwa mauaji Uchina
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Kortini kwa mauaji ya polisi na raia Stakishari
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAWAKALA WA MAKOMANDOO WA NEPAL WALIOTUA NCHINI KINYEMELA NA KUJIFANYA 'WALINZI' WAPANDISHWA KORTINI
.jpg)
Washtakiwa hao walipanda kizimbani jana mbele ya Hakimu Mkazi, Devotha Kisoka na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Idara ya Uhamiaji, Patrick Ngayomela.
Ngayomela alidai washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Meneja uendeshaji wa kampuni hiyo, Henry Mwakipunda (34) na dereva Hamza Sefu...
9 years ago
Habarileo21 Dec
Kampuni 27 za tanzanite zakwepa kodi
KAMPUNI 27 za kununua na kuuza madini ya tanzanite mkoani Arusha zilizosajiliwa, zinachunguzwa na serikali baada ya kubainika kukwepa kodi ya zaidi ya Sh bilioni 150 na ziko hatarini kufutiwa leseni.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Watuhumiwa wa mauaji kortini Z’bar
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.

The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...