Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walinzi watatu Shirika la Reli watinga kortini

Walinzi watatu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefikishwa katika Mahakama ya Ilala kujibu shtaka la wizi wa kompyuta na vifaa vyake vyenye thamani ya Sh4.8 milioni .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Walinzi Kampuni ya Tanzanite One kortini kwa mauaji

Walinzi watatu wa Kampuni ya Tanzanite One wamefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Manyara kwa tuhuma za mauaji ya mchimbaji mdogo wa madini ya tanzanite wa Mirerani, Samwel Lucas (36).

 

10 years ago

Michuzi

MAWAKALA WA MAKOMANDOO WA NEPAL WALIOTUA NCHINI KINYEMELA NA KUJIFANYA 'WALINZI' WAPANDISHWA KORTINI

MKURUGENZI wa Kampuni ya Ulinzi ya Advanced Limited, Juma Ntinginya (47) na wenzake wawili, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kuwahifadhi raia wa Nepal.
 Washtakiwa hao walipanda kizimbani jana mbele ya Hakimu Mkazi, Devotha Kisoka na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Idara ya Uhamiaji, Patrick Ngayomela.
Ngayomela alidai washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Meneja uendeshaji wa kampuni hiyo, Henry Mwakipunda (34) na dereva Hamza Sefu...

 

11 years ago

Habarileo

Shirika la Reli taabani kifedha

WIZARA ya Uchukuzi, imebainisha wazi kuwa hali ya kifedha ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) si nzuri kiasi cha kushindwa hata kukarabati kwa muda mrefu vituo vyake ambavyo kwa sasa vina hali mbaya.

 

10 years ago

Habarileo

Uongozi Shirika la Reli wabanwa

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison MwakyembeBODI ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) wamebanwa na kutakiwa kuhakikisha kuwa kampuni hiyo inajiendesha na kufutiwa ruzuku ya serikali ifikapo mwaka wa fedha wa 2016/2017, vinginevyo waachie nafasi zao.

 

10 years ago

GPL

SITTA ACHUKUA HATUA KUHUSU MABEHEWA MABOVU YA SHIRIKA LA RELI

Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Samwel Sitta,  akitoa tamko.
Waziri Sitta akionyesha msisitizo wa jambo.
…Akisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (pichani hawapo).…

 

9 years ago

MillardAyo

Ninayo ripoti ya Rais Magufuli alivyothibitisha kumsimamisha Mkurugenzi shirika la reli

Siku ya December 22 2015 inanifikia ripoti nyingine inayohusiana na maamuzi ya Rais John Magufuli Ikulu Dar es Salaam. Ripoti yenyewe inahusu kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania RAHCO, Mhandisi Benhadard Tito. Kwenye ripoti hiyo kuna taarifa kwamba Mkurugenzi huyo amesimamishwa kwa tuhuma za kukiuka taratibu za manunuzi katika mchakato […]

The post Ninayo ripoti ya Rais Magufuli alivyothibitisha kumsimamisha Mkurugenzi shirika la reli...

 

10 years ago

Habarileo

Watatu kortini utakatishaji fedha

WATU watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya wizi na utakatishaji wa fedha.

 

5 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAZINDUA MFUMO UKATAJI TIKETI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

Shirika la Reli Tanzania – TRC lazindua rasmi mfumo mpya wa ukataji tiketi kwa njia ya kielekroniki katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo ofisi ya Makao Makuu ya Shirika jijini Dar es Salaam Aprili 4, 2020.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mgeni rasmi Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Isack Kamwele, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRC Prof. John Wajanga Kondoro, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Ndugu Focus ,Mwakilishi kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao Bwana Benedictor...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu kortini kwa kusafirisha mihadarati

WATUHUMIWA watatu raia wa kigeni wa kusafirisha dawa za kulevya jana wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti. Watuhumiwa hao ni Grace Teta Gratu(24) Liberaia,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani