SITTA ACHUKUA HATUA KUHUSU MABEHEWA MABOVU YA SHIRIKA LA RELI
Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Samwel Sitta, akitoa tamko. Waziri Sitta akionyesha msisitizo wa jambo. …Akisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (pichani hawapo).…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLSITTA AMJIBU SUMAYE KUHUSU MABEHEWA MABOVU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
Waziri Mwakyembe apokea mabehewa yatakayo boresha usafiri katika reli ya kati
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jk550vKcogI/VIWRf-Y6ExI/AAAAAAAG2Bc/X-YCNP6Yb1M/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFccIln3M5I/VIWRhm36ZbI/AAAAAAAG2Bk/UXjjkbXPttI/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UvYKa77xdkk/VP8ax6A7eiI/AAAAAAAHJX8/XISP_zc4q-o/s72-c/trl3.jpg)
WAKAGUZI WA MABEHEWA YA TRL YALIYOINGIZWA NCHINI HIVI KARIBUNI KUCHUKULIWA HATUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-UvYKa77xdkk/VP8ax6A7eiI/AAAAAAAHJX8/XISP_zc4q-o/s1600/trl3.jpg)
Waziri wa Uchukuzi,Samwel Sitta amesema kuwa mabehewa yaliyoingizwa nchini kutokea Kampuni ya M/S Hindusthan Engeneering Industries Limited yapo chini ya kiwango na hivyo wale ambao wamehusika na ukaguzi na kufanya mabehewa hayo yaingizwe nchini watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam mara alipotembelea Shirika la Reli Nchini (TRL),Sitta alisema serikali ikithibitisha waliokagua na kuleta mabehewa...
10 years ago
Mwananchi11 Mar
Waziri Samuel Sitta azuia mabehewa 124 akihofia ufisadi
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Maamuzi mabovu na utendaji mbaya wa kazi wawapelekea wenyekiti kumchukulia hatua mwenyekiti wao wa kijiji
Wanafunzi katika shule ya msingi Shenda wakiwa wamekaa kwenye moja ya darasa lililosakafiwa.
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kilio toka kwa wananchi kuhusu ubadhirifu wa fedha za umma unaofanywa na viongozi waliowachagua pasipo kuchukua hatua zozote. Ukimya huu wa wananchi ndio unaosababisha kilio hicho kuendelea kukuwa kila siku. Ila vilio hivi huishaga pale tu wananchi wanapoamua kwa dhati kuchukua hatua, kama walivyofanya wananchi wa kijiji cha Shenda. Shenda ni moja kati ya vijiji...
10 years ago
Habarileo13 Nov
Uongozi Shirika la Reli wabanwa
BODI ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) wamebanwa na kutakiwa kuhakikisha kuwa kampuni hiyo inajiendesha na kufutiwa ruzuku ya serikali ifikapo mwaka wa fedha wa 2016/2017, vinginevyo waachie nafasi zao.
11 years ago
Habarileo18 Dec
Shirika la Reli taabani kifedha
WIZARA ya Uchukuzi, imebainisha wazi kuwa hali ya kifedha ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) si nzuri kiasi cha kushindwa hata kukarabati kwa muda mrefu vituo vyake ambavyo kwa sasa vina hali mbaya.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Walinzi watatu Shirika la Reli watinga kortini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MABEHEWA MABEHEWA MAPYA YA TRL LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-EmUEwx4yNEA/VIXGHkE3wMI/AAAAAAAG2G8/9OXrHU3LqqE/s1600/unnamed%2B(87).jpg)