Ninayo ripoti ya Rais Magufuli alivyothibitisha kumsimamisha Mkurugenzi shirika la reli
Siku ya December 22 2015 inanifikia ripoti nyingine inayohusiana na maamuzi ya Rais John Magufuli Ikulu Dar es Salaam. Ripoti yenyewe inahusu kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania RAHCO, Mhandisi Benhadard Tito. Kwenye ripoti hiyo kuna taarifa kwamba Mkurugenzi huyo amesimamishwa kwa tuhuma za kukiuka taratibu za manunuzi katika mchakato […]
The post Ninayo ripoti ya Rais Magufuli alivyothibitisha kumsimamisha Mkurugenzi shirika la reli...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9QFStw-ynZQ/ViuC84Mwq_I/AAAAAAAICiA/ITG5ORHyiZ8/s72-c/DSC_6857.jpg)
MKURUGENZI WA SHIRIKA LA MISAADA LA UINGEREZA AKUTANA NA RAIS.
![](http://4.bp.blogspot.com/-9QFStw-ynZQ/ViuC84Mwq_I/AAAAAAAICiA/ITG5ORHyiZ8/s640/DSC_6857.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zM7qrTNnaX0/ViuC83QaPOI/AAAAAAAICh8/6wscIexRvw4/s640/DSC_6863.jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Dec
RAIS AMTEUA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI (TPDC)
![](https://media.licdn.com/media/p/5/005/093/0fa/1337f21.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dkt. James P. MATARAGIO kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Kulingana na, Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekaniakiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni...
10 years ago
Dewji Blog19 Dec
Rais amteua Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dkt. James P. MATARAGIO kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Kulingana na, Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.
Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5cyuBLvyKyI/VW20qJKa4vI/AAAAAAAHbWU/BEqMHRvUxfs/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TBC.
![](http://1.bp.blogspot.com/-5cyuBLvyKyI/VW20qJKa4vI/AAAAAAAHbWU/BEqMHRvUxfs/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2JnrtpukDM/VW20p7YoXAI/AAAAAAAHbWY/4vvdF8WCkxk/s640/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-36CJmjC33YY/VW20p7JiSiI/AAAAAAAHbWc/y3trnhkoCgM/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Dec
RAIS AMTEUA Dkt. James P. MATARAGIO KUWA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI (TPDC)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama...
9 years ago
VijimamboMagavana wa Afrika wakutana na Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa Bi. Christine Lagarde na Rais wa Kundi la Benki ya Dunia Dr. Jim Yong Kim
Wajadili namna ya kuchochea maendeleo na kuimarisha uchumi barani Afrika.
10 years ago
Habarileo13 Nov
Uongozi Shirika la Reli wabanwa
BODI ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) wamebanwa na kutakiwa kuhakikisha kuwa kampuni hiyo inajiendesha na kufutiwa ruzuku ya serikali ifikapo mwaka wa fedha wa 2016/2017, vinginevyo waachie nafasi zao.
11 years ago
Habarileo18 Dec
Shirika la Reli taabani kifedha
WIZARA ya Uchukuzi, imebainisha wazi kuwa hali ya kifedha ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) si nzuri kiasi cha kushindwa hata kukarabati kwa muda mrefu vituo vyake ambavyo kwa sasa vina hali mbaya.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Walinzi watatu Shirika la Reli watinga kortini