Mchimbaji afariki kwa kulipuliwa na baruti
 Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kulipuliwa na baruti akiwa mgodini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Mchimbaji wa siku 41 mgodini afariki dunia
Na Paul Kayanda, Kahama
MMOJA wa wachimbaji wadogo machimbo ya Nyangarata, waliookolerwa baada ya kufukiwa na kifusi mgodini kwa siku 41, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kahama, Dk. Joseph Ngowi, alisema kuwa Kaiwao alifariki dunia jana saa 6.00 mchana baada ya kupata matatizo na kushindwa kupumua.
“Ni kweli amekufa na sababu ya kifo chake inaonekana wakati akitapika na huku akiwa amelala.
“Sehemu ya matapishi yake yaliingia kwenye njia ya...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Mchimbaji aliyenusurika mgodini Nyangalata afariki
10 years ago
Mwananchi08 May
Mvua yasababisha Bajeti ya Elimu kupitishwa kwa kulipuliwa
10 years ago
Habarileo04 Jan
Walinzi mahakamani kwa mauaji ya mchimbaji mdogo
WALINZI watatu wa Kampuni ya TanzaniteOne wamefikishwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Manyara, wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya mchimbaji mdogo wa madini ya tanzanite wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani
Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...
5 years ago
Michuzi24 Jun
Serikali yamlipa mchimbaji mdogo zaidi ya Bilioni 7.74 kwa madini yake ya Tanzanite
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b40f7044-3177-4651-8a94-d81001b23f08.jpg)
Mchimbaji mdogo wa madini, Saniniu Kurian Laizer, akimkabidhi waziri wa madini Dotto Biteko mawe ya Tanzanite yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 7.74 katika hafla fupi iliyofanyika Mirerani.Pichani kati ni Naibu Waziri wa Madini Mhe.Stansalus Nyongo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/dd7daf87-392d-4223-963a-060b1369559c.jpg)
Katibu Mkuu wizara ya Madini Prof Simon Msanjila akizungumza wakati wa hafla ya kupokea madini kutoka kwa mchimbaji mdogo wa Mirerani.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/ee85e80e-013a-4a7b-af47-a549941a3689.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mughwira (wa Pili Kushoto), Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Kizungumkuti uchunguzi ndege ya kulipuliwa
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Wavuvi haramu walipukiwa na baruti Tanga
WAKAZI wawili wa Kata ya Tangasisi tarafa ya Pongwe wilayani Tanga wamejeruhiwa viungo mbalimbali vya mwili kwa kulipukiwa na baruti wakati wakivua kwa kutumia zana za uvuvi haramu kwenye kisiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7_msmPhJLoc/U53oUuRQruI/AAAAAAAAO78/fcKqtezN4P0/s72-c/12.jpg)
NAPE AIZUNGUMZA NA WANA KIMARA BARUTI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7_msmPhJLoc/U53oUuRQruI/AAAAAAAAO78/fcKqtezN4P0/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HeAY03Y9I_0/U53oXezntYI/AAAAAAAAO8E/CojOipfYIms/s1600/10.jpg)