Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchimbaji afariki kwa kulipuliwa na baruti

 Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kulipuliwa na baruti akiwa mgodini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mchimbaji wa siku 41 mgodini afariki dunia

Na Paul Kayanda, Kahama

MMOJA wa wachimbaji wadogo  machimbo ya Nyangarata, waliookolerwa baada ya kufukiwa na kifusi mgodini kwa siku 41, Onyiwa Kaiwao (55) amefariki dunia.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kahama, Dk. Joseph Ngowi,  alisema   kuwa Kaiwao alifariki dunia jana saa 6.00 mchana baada ya kupata matatizo na kushindwa kupumua.

“Ni kweli amekufa  na sababu ya kifo chake inaonekana wakati akitapika na huku akiwa amelala.

“Sehemu ya matapishi yake yaliingia kwenye njia ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mchimbaji aliyenusurika mgodini Nyangalata afariki

Mmoja wa wachimbaji wadogo watano waliookolewa baada ya kufunikwa na kifusi mgodini kwa siku 41 wilayani Kahama, amefariki dunia kwa kile ambacho madaktari wameeleza kuwa ni athari za chakula walichokuwa wakila.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yasababisha Bajeti ya Elimu kupitishwa kwa kulipuliwa

>Licha ya kuwa na upungufu kadhaa uliobainika, Kamati ya Huduma za Jamii imepitisha bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya 2015/16, tayari kwenda kuwasilishwa bungeni kwenye Bunge la Bajeti linalotarajiwa kuanza Mei, 12.

 

10 years ago

Habarileo

Walinzi mahakamani kwa mauaji ya mchimbaji mdogo

WALINZI watatu wa Kampuni ya TanzaniteOne wamefikishwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Manyara, wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya mchimbaji mdogo wa madini ya tanzanite wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani

1. Mchimbaji mdogo wa Mererani, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Kinana vifaa vya uchimbaji amnavyouza kwa wachimbaji wengine pia

Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite  kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro,  Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yamlipa mchimbaji mdogo zaidi ya Bilioni 7.74 kwa madini yake ya Tanzanite


Mchimbaji mdogo wa madini, Saniniu Kurian Laizer, akimkabidhi waziri wa madini Dotto Biteko mawe ya Tanzanite yenye thamani ya zaidi ya  Shilingi Bilioni 7.74 katika hafla fupi iliyofanyika Mirerani.Pichani kati ni Naibu Waziri wa Madini  Mhe.Stansalus Nyongo
Katibu Mkuu wizara ya Madini Prof Simon Msanjila akizungumza wakati wa hafla ya kupokea madini kutoka kwa mchimbaji mdogo wa Mirerani.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mughwira (wa Pili Kushoto), Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania...

 

9 years ago

Mwananchi

Kizungumkuti uchunguzi ndege ya kulipuliwa

Maofisa wa upelelezi wa ajali za ndege kutoka Misri wamesema hawajapata ushahidi wa kulipuliwa kwa ndege ya Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 nchini Syria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi haramu walipukiwa na baruti Tanga

WAKAZI wawili wa Kata ya Tangasisi tarafa ya Pongwe wilayani Tanga wamejeruhiwa viungo mbalimbali vya mwili kwa kulipukiwa na baruti wakati wakivua kwa kutumia zana za uvuvi haramu kwenye kisiwa...

 

11 years ago

Michuzi

NAPE AIZUNGUMZA NA WANA KIMARA BARUTI

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa Kimara Baruti kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mbele ya ofisi za TRA Kimara Baruti ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa tatizo kuwabwa la foleni linadhoofisha uchumi hivyo linatakiwa kupatiwa ufumbuzi mara moja,pia alisema atazungumza na viongozi wa ngazi za juu wa CCM kuwapa kipaumbele wakazi wa Ubungo na Kawe waweze kupata maji mwanzoni katika miradi ya maji inayokuja.  Baadhi ya Wana CCM waliohudhuria...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani