NAPE AIZUNGUMZA NA WANA KIMARA BARUTI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7_msmPhJLoc/U53oUuRQruI/AAAAAAAAO78/fcKqtezN4P0/s72-c/12.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa Kimara Baruti kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mbele ya ofisi za TRA Kimara Baruti ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa tatizo kuwabwa la foleni linadhoofisha uchumi hivyo linatakiwa kupatiwa ufumbuzi mara moja,pia alisema atazungumza na viongozi wa ngazi za juu wa CCM kuwapa kipaumbele wakazi wa Ubungo na Kawe waweze kupata maji mwanzoni katika miradi ya maji inayokuja.
Baadhi ya Wana CCM waliohudhuria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Wana CCM wamjia juu Nape
![Nape Nnauye](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Nape-Nnauye-300x201.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye
RODRICK MUSHI NA ELIYA MBONEA, MOSHI
MRATIBU wa marafiki wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa walioko Kanda ya Kaskazini, Noel Nnko, amesema kauli ya Katibu wa Halmshauri Kuu,Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, dhidi ya makundi yanayokwenda nyumbani kwa kiongozi huyo kumshawishi agombee urais ni ya udhalilishaji.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Nnko alisema kitendo cha Nape kusema wanaokwenda kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ap9z1Qq_bb0/UzCTocX0GWI/AAAAAAAAMjY/lA2xQPb6iYA/s72-c/23.jpg)
NAPE AMNADI RIDHIWANI KIKWETE KWA WANA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ap9z1Qq_bb0/UzCTocX0GWI/AAAAAAAAMjY/lA2xQPb6iYA/s1600/23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m-yy2Rtexqw/UzCTrHIx9ZI/AAAAAAAAMjk/b_C84vB1nP4/s1600/24.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s72-c/1.jpg)
NAPE AWASHUKURU WANA CCM MTAMA AAHIDI KUTOWAANGUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rjjH6yJLxI0/VdaFgPgFzdI/AAAAAAAAkkc/6DvOTrTMZDc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMq_p1o__Uk/VdaFigK1ItI/AAAAAAAAkl8/L7d6V8tZQLw/s640/2.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-vEpFR6-iY20/VnYNsqlbL6I/AAAAAAAAsbI/5a8erXRK1u0/s72-c/31.jpg)
NAPE AWAAMBIA WANA MASASI KULIPELEKA JIMBO UPINZANI NI KULIWEKA REHANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vEpFR6-iY20/VnYNsqlbL6I/AAAAAAAAsbI/5a8erXRK1u0/s640/31.jpg)
11 years ago
Habarileo22 Jul
Baruti yaua wawili, yajeruhi 3 Mirerani
WACHIMBAJI wadogo wawili wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamekufa na wengine watatu wamejeruhiwa baada ya kupigwa na baruti wakiwa mgodini.
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Wavuvi haramu walipukiwa na baruti Tanga
WAKAZI wawili wa Kata ya Tangasisi tarafa ya Pongwe wilayani Tanga wamejeruhiwa viungo mbalimbali vya mwili kwa kulipukiwa na baruti wakati wakivua kwa kutumia zana za uvuvi haramu kwenye kisiwa...
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Mchimbaji afariki kwa kulipuliwa na baruti
11 years ago
GPLWANASWA NA MABOMU 7, RISASI 6, BARUTI JIJINI ARUSHA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..