Baruti yaua wawili, yajeruhi 3 Mirerani
WACHIMBAJI wadogo wawili wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamekufa na wengine watatu wamejeruhiwa baada ya kupigwa na baruti wakiwa mgodini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Radi yaua sita, yajeruhi wawili
WATU sita wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi katika migahawa miwili inayohudumia wanafunzi wa Chuo Cha Maendeleo na Mifugo (LITA). Tukio tukio hilo lilitokea juzi...
11 years ago
GPLAJALI YAUA WAWILI, YAJERUHI 23 MKOANI MBEYA
10 years ago
Habarileo20 Feb
Ajali yaua 2 yajeruhi 45
WATU wawili wamekufa papo hapo huku wengine 45 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na roli katika kijiji cha Vikonje wilayani Chamwino mkoani hapa.
11 years ago
Habarileo22 Apr
Ajali ya basi yaua 10, yajeruhi 30
WATU 10 wamekufa papo hapo na wengine 30 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya basi la Luhuye Express lililokuwa likitoka wilayani Tarime mkoani Mara kwenda jijini Mwanza jana.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Ajali yaua 6, yajeruhi 12 Dar
WATU sita wamefariki dunia papo hapo na zaidi ya 12 kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne. Akizungumzia tukio hilo lililotokea jana eneo la Makongo, jijini Dar es Salaam, Kamanda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI1T32fLFr7znZK5kq0PABUJIF8i*1yUbQDjbxs93cK5tQiVYA6TOvFlBXVEqEZAIAJV42QlvGbWY0UWOZSC4G0H/ajalinew.jpg?width=650)
AJALI YAUA WAUJAJI 17 , YAJERUHI 27 NEPAL
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Ajali ya basi yaua mmoja, yajeruhi 46
NA ABDALLAH AMIRI, IGUNGA
MTU mmoja, amefariki dunia papo hapo na wengine 46 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya ALLY’S lenye namba za usajili T 560 AKW aina ya Scania, kupinduka katika Kijiji cha Igogo, Kata ya Nanga, Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora.
Ajali hiyo ilitokea jana, saa 12 alfajiri wakati basi hilo lilipokuwa likitoka wilayani Igunga kwenda jijini Mwanza.
Wakizungumza na MTANZANIA eneo la tukio baada ya ajali hiyo, mmoja wa abiria aliyenusurika, Emmanuel Julius (32),...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Ajali yaua 4 Moshi, yajeruhi 3 Handeni
WATU wanne wamekufa na watatu wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti, zilizotokea Moshi mkoani Kilimanjaro na Handeni mkoani Tanga.
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Ajali ya Hood yaua Mkenya, yajeruhi 16
RAIA wa Kenya, Joshua Likumbi (45), amefariki dunia katika ajali ya basi la Kampuni ya Hood linalofanya safari zake kati ya Arusha na Mbeya. Ajali hiyo ilitokea jana baada ya...