Radi yaua sita, yajeruhi wawili
WATU sita wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi katika migahawa miwili inayohudumia wanafunzi wa Chuo Cha Maendeleo na Mifugo (LITA). Tukio tukio hilo lilitokea juzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Radi yaua wanafunzi sita darasani
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
WATU nane wakiwamo wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Kibirizi mkoani Kigoma, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi.
Pamoja na vifo hivyo, wanafunzi wengine 15 wa shule hiyo walijeruhiwa vibaya.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma, Maweni, Dk. Fadhili Kabaya alithibitisha kupokea miili ya marehemu pamoja na majeruhi.
Alisema tukio hilo, lilitokea jana saa 6 mchana wakati mvua kubwa iliyoambatana na radi ikinyesha.
“Tumepokea majeruhi 15 wa tukio hili,...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Radi yaua mwalimu, wanafunzi sita
WATU saba wakiwamo wanafunzi sita wa darasa la nne katika shule ya msingi Nyakasanda na Mwalimu wa shule hiyo, Anderson Kibada wamekufa baada ya kupigwa na radi huku watu wengine 11 akiwemo Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Laurence Sesegwa (42) wakijeruhiwa.
11 years ago
Habarileo22 Jul
Baruti yaua wawili, yajeruhi 3 Mirerani
WACHIMBAJI wadogo wawili wa mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamekufa na wengine watatu wamejeruhiwa baada ya kupigwa na baruti wakiwa mgodini.
10 years ago
Vijimambo15 Apr
Radi yaua wanafunzi sita, mwalimu darasani.
![](http://www.whmentors.org/rpic/lightning001a.jpg)
Tukio hilo lilitokea jana saa 5:00 asubuhi katika Shule ya Msingi Kibirizi iliyopo kwenye manispaa hiyo.
KAULI YA MGANGA
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Kigoma ya Maweni, Dk. Fadhili Kibaya, alisema alipokea maiti za watu wanane zikiwamo za wanafunzi sita wa...
11 years ago
GPLAJALI YAUA WAWILI, YAJERUHI 23 MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Lhvbf2PQg5M/VS0LaZJeb6I/AAAAAAAHRFU/o-NilAJbfHI/s72-c/IMG-20150414-WA0089.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ;RADI YAUA MWALIMU NA WANAFUNZI SITA KIGOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Lhvbf2PQg5M/VS0LaZJeb6I/AAAAAAAHRFU/o-NilAJbfHI/s1600/IMG-20150414-WA0089.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R8fCO1jg0Ag/VS0LaQf5VBI/AAAAAAAHRFI/lmFHbaOJ-cU/s1600/IMG-20150414-WA0090.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HDEPaKFqHrg/VS0LaConKXI/AAAAAAAHRFE/rlnfZ1QCA6Q/s1600/IMG-20150414-WA0092.jpg)
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya mkoa wa Kigoma,Maweni akiongeza na Waandishi wa habari juu ya tukio la radi lililotokea hivi punde na kuuwa watu 8
Na Editha Karlo Karlo wa blog ya jamii,KigomaWATU wanane wakiwemo wanafunzi...
10 years ago
Habarileo20 Feb
Ajali yaua 2 yajeruhi 45
WATU wawili wamekufa papo hapo huku wengine 45 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na roli katika kijiji cha Vikonje wilayani Chamwino mkoani hapa.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Ajali yaua 6, yajeruhi 12 Dar
WATU sita wamefariki dunia papo hapo na zaidi ya 12 kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne. Akizungumzia tukio hilo lililotokea jana eneo la Makongo, jijini Dar es Salaam, Kamanda...
11 years ago
Habarileo22 Apr
Ajali ya basi yaua 10, yajeruhi 30
WATU 10 wamekufa papo hapo na wengine 30 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya basi la Luhuye Express lililokuwa likitoka wilayani Tarime mkoani Mara kwenda jijini Mwanza jana.